TRACE
Senior Member
- Jul 4, 2008
- 120
- 46
Habari za asubuhi wana JF.Napenda kuwatangazia kuwa nauza viwanja ila dalali hatakiwi.Viko viwanja nane tu vimebaki vina ukubwa wa mita 15x15 kwa bei ya TShs.1,500,000/=
Kilometa 4.5 toka Mizani ya Kibaha upande wa kulia kama unatokea mjini.Barabara inafika mpaka kwenye viwanja,umeme na maji vipo karibu na kufika site.Naomba kwa wale watakaohitaji au kutaka kujua zaidi wanipigie kwa namba 0716 322169.
Kilometa 4.5 toka Mizani ya Kibaha upande wa kulia kama unatokea mjini.Barabara inafika mpaka kwenye viwanja,umeme na maji vipo karibu na kufika site.Naomba kwa wale watakaohitaji au kutaka kujua zaidi wanipigie kwa namba 0716 322169.