Anatafutwa fundi cherehani mzoefu

Anatafutwa fundi cherehani mzoefu

Mbwambo

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2008
Posts
625
Reaction score
95
Nina mdogo wangu ambaye amemaliza kozi ya kushona nguo lakini natafuta fundi atakayempatia uzoefu wa kutosha
awe anajuwa kudarizi pia.
Atapata malipo gani?

1. Kodi free atakuwa halipi ya mkataba wa chumba
2. Umeme bure
3. Ulinzi bure

mgao
atapata robo ya gharama ya kushona nguo

wasiliana na 0713 68 96 65
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom