Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Baada ya chuo kusajiliwa na NACTVET kwa namba REG/NACTVET/VTC/0845 mafunzo ya salon kuanzia kusuka nywele mitindo mbalimbali na masuala yote ya urembo sasa yatakuwa katika mfumo rasmi ambapo...
0 Reactions
0 Replies
639 Views
Habari wadau, Nauza godown. Lipo mkata handeni barabara kuu irudiyo msata/pwani Lipo kilometer 2 toka mkata stand Lipo meter 100 toka barabara kuu itokayo mkata kurudi pwani Maji yapo mpaka...
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Ninauza nyumba ipo Mwanza maduka 9, maji na umeme vipo, nyumba ipo jirani na barabara kuu ya maduka 9 kiloleli. Bei naanzia 16 Milioni, maongezi kidogo yapo. Simu 0717072172.
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Mwenye connection aniambie jamani, 2022 ni mwaka wa kujenga sasa.
4 Reactions
90 Replies
11K Views
Mawasiliano 0715454455
1 Reactions
16 Replies
918 Views
Nyumba inauzwa Magomeni Makuti A, Mtaa wa msikiti Mdogo Documents: Mirathi Skwata Meter 120 main road, tandale road. Bei 125milioni (mazungumzo yapo) Nipigie +255712347749 +255765755455
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Panasonic s1 full frame ipo na convetor ya ef unatumia lens za canon Bei 4.3m OR EXCHANGE PLUS TOP UP ALLOWED 0716917896
0 Reactions
1 Replies
497 Views
Gari inayofanana na hiyo picture au Kama hiyo inahitajika. Phone 0717371028. Karibuni Sana.
0 Reactions
0 Replies
732 Views
Kiwanja KINA sqm 1298 kipo Mbutu kigamboni, kina hatimiliki ya wizara ya ardhi isiyokuwa na deni,kutoka kiwanja kilipo kufika Baharini ni dakika 4 tu kwa kutembea. Bei milioni 40...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Ndio ipo Kigogo Mburahati, bei ni milioni 110 tu. Nyumba inatazama barabara ya lami inayoenda chuo cha NIT Mabibo kutokea Madoto.
0 Reactions
3 Replies
654 Views
Mwandege wilaya ya Mkuranga. Mkoa wa Pwani, Mwandege. Nyumba ina vyumba vitano na sitting room. Ina choo cha kudumu/shimo. Nyumba ipo kwenye lenta bado kupaua tu. Ipo kwenye Barabara ya...
0 Reactions
0 Replies
546 Views
Habari za Wakati Huu? BIASHARA YAKO INAHANGAIKA KUTAFUTA WATEJA? Je wewe ni mtoa huduma,muagizaji au mzalishaji wa bidhaa zenye Ubora.Je unahitaji kufikia Soko Kubwa kwa Gharama Nafuu?Je unahitaji...
0 Reactions
0 Replies
546 Views
Nyumba ipo kwenye eneo kubwa la uwanja wa 35x76 Ina kisima na tank la ujazo wa Lt 7,000 ina Vyumba Vitatu vya Kulala Kimoja ni Master Pia ina; Sitting room (Kubwa) Dining Room Jiko kubwa Stoo...
2 Reactions
30 Replies
3K Views
wana JF, kuna ile unakutana na mtu yaaan kwa jinsi anavyonukia tu unaanza kuwazia akilini "kama huyu si mtumishi wa bank basi atakuwa plan international ama kwenye wizara flan ivi serikalini" ila...
4 Reactions
162 Replies
38K Views
Hujambo kaka/dada. Iwapo umekwama kufanya muamala wa kubadili na kutoa senti zako zilizopo kwenye PayPal ama Skrill, basi ujumbe huu ni wako. Ingia inbox tusaidiane.
0 Reactions
16 Replies
844 Views
Habari wakuu. Ninauza Gari yangu Nissan Tilda Namba C. Engine: cc1490 Gari haitembei Ina changamoto zifuatazo - Badhi za sensa zimekifa nilimwita fundi akatazama na kubadili sensa, gari iliwaka...
1 Reactions
75 Replies
6K Views
Nyumba ya Vyumba vitatu, jiko, sitting room, chumba kimoja master. Eneo kubwaa linatosha kuzungusha fensi, dakika 5 main road ya kilwa road. Mwandege iko mkoa wa pwani wilaya ya mkuranga, unaanza...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
TOYOTA SPACIO NEW Model CC 1490 HAINA CHANGAMOTO BEI: M8 .5 Exchange Allowed SIMU: 0710381545
0 Reactions
1 Replies
777 Views
Jinsi ya kujisajili katika mfumo wa NeST kama Mzabuni Fuata hatua zifuatazo; 1. Ingia kwenye Tovuti: www.nest.go.tz 2. Bofya 'Register as a Tenderer' 3. Chagua nchi kwa kubofya 'Select Country'...
2 Reactions
9 Replies
10K Views
Wakuu kuna chaka nipo kama mnavojua najihusisha na mambo ya uvuvi na sehemu niliopo kuna changamoto ya usafiri maana ni porin sasa nilikuwa nahitaji mtu ambaye tunaweza kuingia mkataba...
3 Reactions
20 Replies
3K Views
Back
Top Bottom