Wadau natafuta kitabu kiitwacho SIMU YA KIFO KImetungwa na Faraji John katalambura.
Nanunua kwa bei yeyote kiwe second hand au kipya.
Nipigie simu 754-290-306 au 718-184-872.
Asante.
Habari rafiki,
Naitwa Aliko Musa. Mimi ni mwandishi na mbobezi kwenye mambo ya uwekezaji kwenye ardhi na majengo. Nimeweka shabaha kwenye kuwezesha watu kujenga utajiri au kutunza fedha zao...
Tunamshukuru Mungu kwa kutuwezesha kuiona leo tukiwa na afya njema... Tunamshukuru Mungu.
.
MZIGO MPYA HUO, mali MPYA, ni ROZARI za SILVER ORIGINAL ZA ITALY ZIKIWA KWENYE UZITO NA UKUBWA TOFAUTI...
Tunauza Miche ya matunda
Aina ya miche ya matunda inayopatikana Kilimo Tz:
1. Miembe
aina za embe ambazo tunazo
a. Tommy
b. Indian Red
c. Apple Mango
d. Dodo
e. Bolibo
f. Alphonso
g. Maya
2...
Nahitaji ushauri juu ya brand nzuri ya magodoro ya kulalia, nahtaji kununua godoro la inch 8 au 10 kwny kitanda cha 5x6 ila ambalo ni mkataba kabsa linadumu kwa mda mrefu.
Na je ni vitu gani vya...
Pata ongezeko la wateja, brand awareness, kuza biashara zako na mtalaam hapa mambo ya mitandao ya kijamii na Masoko kiujumla.
Faida za kuwa na social media + marketing manager
1. Nasimamia...
Habari ndugu zangu,
Nilinunua mashine zangu mbili za kukamua juice ili nibangaize miamoja au miambili nione kama nitaongeza kipato. Mashine zipo Dar, niliwakabidhi vijana walikuwa wanaziweka...
Habari wandugu
Kama title inavyojieleza, nimeona ni vyema kuanzisha Uzi huu ili iwe rahisi kwa wadau (wauzaji na wanunuzi wa nafaka mbali mbali) kukutana na kufikiana. Taja aina ya nafaka...
" Owning residential real estate is not a great investment. Over the past 20 years, home prices have risen less than the consumer price index and have returned less than treasury bills." Hayo...
Nauza hii Camera 📷 kwa bei tajwa hapo juu. Ipo pamoja na cover, memory card (8GB) na adapter yake.
Niliinunua Thailand baada ya simu yangu kupotea wakati nikiwa nahitaji picha muhimu za matukio...
Naiuza hii nissan yangu haina shida yoyote ila imepaki muda mrefu sababu nipo mkoani kwa muda sasa, hapo inawaka na kutembea bila shaka 2 M tu naitupa.
0787037744.
Business Manager (BM) ni sytem inayomuwezesha mfanya biashara kuweza kuiongoza biashara yake kwa kuweka sawa hesabu zake mapato na matumizi pamoja na faida na hasara. kutunza taarifa za wateja na...
Hello ladies and gentlemen...
Anaefahamu chimbo zuri hapa Dar, wanapouza nguo za watoto nyepesi yaani (lightbaby) grade one kutoka Canada na UK anijuze. Ukinijuza na bei itakuwa poa...
Ni mali yangu halali tunaandikishiana hata kituo cha polisi
Ukitaka njoo uchukulie nyumbani.
Ni nzima haina kasoro yeyote nakupa warranty mwaka mzima.
Betri inakaa na chaji kutwa nzima hata...
Jamani nina eneo langu liko Kibaha kwa Mfipa jirani na Sec. naliuza. Lina ukubwa wa nusu heka, kuna boma la nyumba ya vyumba 3 ambavyo vyote ni master, seble jiko na dining.
Nimeezeka vyumba 2 na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.