Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wadau natafuta kitabu kiitwacho SIMU YA KIFO KImetungwa na Faraji John katalambura. Nanunua kwa bei yeyote kiwe second hand au kipya. Nipigie simu 754-290-306 au 718-184-872. Asante.
1 Reactions
3 Replies
898 Views
Habari rafiki, Naitwa Aliko Musa. Mimi ni mwandishi na mbobezi kwenye mambo ya uwekezaji kwenye ardhi na majengo. Nimeweka shabaha kwenye kuwezesha watu kujenga utajiri au kutunza fedha zao...
0 Reactions
0 Replies
820 Views
Tunamshukuru Mungu kwa kutuwezesha kuiona leo tukiwa na afya njema... Tunamshukuru Mungu. . MZIGO MPYA HUO, mali MPYA, ni ROZARI za SILVER ORIGINAL ZA ITALY ZIKIWA KWENYE UZITO NA UKUBWA TOFAUTI...
2 Reactions
60 Replies
9K Views
Tunauza Miche ya matunda Aina ya miche ya matunda inayopatikana Kilimo Tz: 1. Miembe aina za embe ambazo tunazo a. Tommy b. Indian Red c. Apple Mango d. Dodo e. Bolibo f. Alphonso g. Maya 2...
0 Reactions
13 Replies
5K Views
Nahitaji ushauri juu ya brand nzuri ya magodoro ya kulalia, nahtaji kununua godoro la inch 8 au 10 kwny kitanda cha 5x6 ila ambalo ni mkataba kabsa linadumu kwa mda mrefu. Na je ni vitu gani vya...
2 Reactions
33 Replies
17K Views
Pata ongezeko la wateja, brand awareness, kuza biashara zako na mtalaam hapa mambo ya mitandao ya kijamii na Masoko kiujumla. Faida za kuwa na social media + marketing manager 1. Nasimamia...
2 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari ndugu zangu, Nilinunua mashine zangu mbili za kukamua juice ili nibangaize miamoja au miambili nione kama nitaongeza kipato. Mashine zipo Dar, niliwakabidhi vijana walikuwa wanaziweka...
0 Reactions
4 Replies
827 Views
Habari wandugu Kama title inavyojieleza, nimeona ni vyema kuanzisha Uzi huu ili iwe rahisi kwa wadau (wauzaji na wanunuzi wa nafaka mbali mbali) kukutana na kufikiana. Taja aina ya nafaka...
1 Reactions
46 Replies
11K Views
" Owning residential real estate is not a great investment. Over the past 20 years, home prices have risen less than the consumer price index and have returned less than treasury bills." Hayo...
0 Reactions
0 Replies
608 Views
Nauza hii Camera 📷 kwa bei tajwa hapo juu. Ipo pamoja na cover, memory card (8GB) na adapter yake. Niliinunua Thailand baada ya simu yangu kupotea wakati nikiwa nahitaji picha muhimu za matukio...
0 Reactions
0 Replies
626 Views
King'amuzi (kisimbuzi) cha dstv kinauzwa, kimetumika miezi mitano tu, mwenyewe anahama. Ukikinunua utapata na Vitu vifuatavyo; 1. Dekoda yenyewe. 2. HDMI Wire. 3. AV Wire. 4. Wire mrefu wa TV. 5...
1 Reactions
8 Replies
811 Views
Ipad air model a1567 IOS 13 Tatzo ni kioo kimepasuka 0757560345 Kila kitu fresh bado mpya Sent from my YAL using JamiiForums mobile app
1 Reactions
5 Replies
589 Views
Naiuza hii nissan yangu haina shida yoyote ila imepaki muda mrefu sababu nipo mkoani kwa muda sasa, hapo inawaka na kutembea bila shaka 2 M tu naitupa. 0787037744.
4 Reactions
40 Replies
3K Views
Kuna ENEO zuri lenye pagali mjini MAKAMBAKO location magegele sokoni ukubwa wa ENEO hatua 30 upana Kwa hatua 30 urefu bei mil 6 0620373782 karibuni
0 Reactions
0 Replies
486 Views
Business Manager (BM) ni sytem inayomuwezesha mfanya biashara kuweza kuiongoza biashara yake kwa kuweka sawa hesabu zake mapato na matumizi pamoja na faida na hasara. kutunza taarifa za wateja na...
0 Reactions
4 Replies
636 Views
Apple MacBook Pro, Retina Display 13inch, 16GB, HDD250GB, Processor core i5, Battery 8800 mAh, 9 hours 4K FaceTime camera, High Sound Quality speakers, Mazungumzo yapo Bei 1.3M Tsh
2 Reactions
26 Replies
2K Views
Hello ladies and gentlemen... Anaefahamu chimbo zuri hapa Dar, wanapouza nguo za watoto nyepesi yaani (lightbaby) grade one kutoka Canada na UK anijuze. Ukinijuza na bei itakuwa poa...
2 Reactions
13 Replies
6K Views
Ni mali yangu halali tunaandikishiana hata kituo cha polisi Ukitaka njoo uchukulie nyumbani. Ni nzima haina kasoro yeyote nakupa warranty mwaka mzima. Betri inakaa na chaji kutwa nzima hata...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Jamani nina eneo langu liko Kibaha kwa Mfipa jirani na Sec. naliuza. Lina ukubwa wa nusu heka, kuna boma la nyumba ya vyumba 3 ambavyo vyote ni master, seble jiko na dining. Nimeezeka vyumba 2 na...
2 Reactions
45 Replies
3K Views
Back
Top Bottom