Laini za uwakala wa M PESA,TIGO PESA, pamoja na AIRTEL MONEY.

Kwa M-Pesa line wanatoa bure,,ila tu uwe na kitambulisho cha kura/taifa,leseni ya biashara pamoja na Tin No.
Laini za uwakala unatakiwa kuwa na Tin number, lesen ya miamala ya pesa,passport na kitambulisho cha mkaazi au cha kura,Tigo wanatoa bure laini ila Voda laini ya uwakala unalipia elfu 15 kwa ajili ya muhuri wa mwanasheria

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Laini za uwakala unatakiwa kuwa na Tin number, lesen ya miamala ya pesa,passport na kitambulisho cha mkaazi au cha kura,Tigo wanatoa bure laini ila Voda laini ya uwakala unalipia elfu 15 kwa ajili ya muhuri wa mwanasheria

Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nmetumia vitu hvyo pekee hapo juu nilivyovitaja yaan leseni,tin # na kitambulisho nikapewa Till No. bila hata kutoa hyo elfu 15 uliyosema hapo,,
 
Ni vizuri mkuu,,biashara ya pesa kama hyo ipo vizuri sana,tafuta tu eneo lilochangamka lenye mzunguko wa pesa
Ahsante sana mkuu..!! Ngoja nichangamkie fursa hii wajua nataka kufungua goli la uwakala wa m pesa tigo pesa na airtel money na halopesa. Sasa nipo nafanya utafiti kidogo kuhusu gharama za uendeshaji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vodacom pia wana uzi wao humu,,ni vyema ukautafuta uulizie upate taarifa zaidi,,ila nachojua mm ni hicho nilichoshare hapo juu na nikafanikiwa ndan ya wk 3
 
Nilifanikiwa kupata hii kaka, sasa sijui kama una apply kwa mikoa yote
Nasubir ili jibu mkuu km umepata nijuze

Sent using Jamii Forums mobile app
20200508_191348.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miaka kadhaa iliyopita nilipeleka documents zangu ili nipate Till ya MPESA. Ila ilitoka tamaa za mfanyakazi akaiuza. Now nataka nipeleke tena documents zile zile nipate TILL nyingine. Je, documents zile zile zinaweza toa Till mbili?
 
Miaka kadhaa iliyopita nilipeleka documents zangu ili nipate Till ya MPESA. Ila ilitoka tamaa za mfanyakazi akaiuza. Now nataka nipeleke tena documents zile zile nipate TILL nyingine. Je, documents zile zile zinaweza toa Till mbili?
Namimi nataka jibu
 
Back
Top Bottom