Nyumba inauzwa eneo ni Keko kilometer chache kuelekea ama kutoka mjini (city center), yaani kutoka hapo kuelekea Kariakoo kwa miguu ni dk 10-15 pia kuelekea posta ni 15-20.
Ina vyumba sita na...
Habari wakuu za kwenu? Hope mko poa.
Niko na 4G POCKET WIFI nili nunua airtell kwa thamani ya shilingi 50k
Ina offer ya 5GB kila mwezi pale unapo weka kifurushi cha mwezi mfano ukinunua GB 4.5...
Dodoma ni jiji linalokua kwakasi kubwa mno, dodoma Ndio jiji pekee Africa mashariki na kati litakalokua na barabara ya mzunguko ukiitoa South Africa.
Barabara ambayo utazunguka mkoa mzima wa...
VIWANJA VINAUZWA KWA OFA YA SABASABA
VIWANJA vinapatikana Vigwaza ni km 8 kutoka barabara ya Morogoro na km 1 kwenda bandari ya nchi kavu.
Kwa msimu huu wa sikukuu utapata kiwanja kwa gharama ya...
OFFER OFFER OFFER [emoji95][emoji95][emoji95][emoji91][emoji91][emoji91]
*IMESHUKA BEI JUMBA LA KIFAHARI KIBAMBA KWA TZS. 180m, UNAWEZA KUTUTANGULIZIA 50m UKAINGIA, HALAFU INAYOBAKI UTATUAMBIA...
Wadau salaam,
Natafuta nyumba/chumba ya kupanga maeneo ya Namanga, Ada Estate na maeneo ya karibu na hapo. Nahitaji nyumba ndogo hasa chumba/master room (self-contained) yenye jiko.
Naomba...
HIGHPOWER - STOP THAT LEAK FOAM
Tumia High Power Stop That Leak Foam kwa mizunguko ya maji inayovuja!
Povu lenye kuziba haraka na kwa ufanisi mianya yote. Thibitisho la kudumu, hata kwenye nyuso...
Habarini wana JF me ni mtaalamu sana kwenye kutengenezea Bussiness card ninauzoefu wa miaka 5 kwenye kutengenezea Bussiness card natengeneza Bussiness card Kwa elfu kumi
Sharose Enterprise inawakaribisha wajasiriamali na wafanyabiashara wote wenye nia na huitaji wa usajili wa biashara zao.
Sharose tunatoa usaidizi wa usajili wa Kampuni na Majina ya biashara kwa...
Kwa huduma tajwa hapo juu. Usisite kuuliza ni bure pia kupatiwa huduma at an affordable price kupitia namba ya simu
+255755194070; barua pepe: mon.eycafeconsultancy@gmail.com
Karibuni sana.
JE,UNAHITAJI MASHINE YA KUTOLEA RISITI ZA KI ELECTRONIKI (EFD)?
Tumia mfumo wa VFD, ni mfumo wa kidigitali ulio idhinishwa moja kwa moja na mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) kumuwezesha...
Pitia uzi huu kila siku utakutana na magari mbali mbali yaliyopo sokoni
Pia kama hujaona, nipigie au nichek WhatsApp kwa aina yoyote ya gari unalohitaji, ninayo mengi, mengine hayapo hapa
Pia...
Habari ndugu jamaa na marafiki
Kwa wale wanaopenda sana mambo ya blog au website basi leo nawaletea website yangu ambayo ninaiuza kutokana kwa sasa ninakosa muda wa kuitumia.
Hii website kwa...
Vyumba vinapangishwa vyumba vipo viwili master pamoja na sebule bei 250k ni chumba cha kisasa kabisaa vyumba eneo lake lipo mbezi beach tangibovu ni dakika 20 au 15 kwa kutembea kutoka stendi...
Habari wadau !!
Kwanza nitoe shukrani kwa ushirikiano wenu hatimaye nimetimiza agenda yangu ya kufungua kiwanda cha kuchakat plastics na kazi zimeanza haraka sana ila nimepata pigo kwenye swala...
VIFAA VYA STATIONARY
Jipatie bidhaa za stationary kwa bei nafuu zaidi kwa bei ya jumla tupo kariakoo mtaa wa lindi karibu na msikiti wa lindi pia tunafunga ODA kwa watu wa mikoani kwa uaminifu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.