Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Habari, Kama wewe ni mmiliki wa pharmacy, Hospital au zahanati,supermarket au duka la aina lolote ile bas hii inakufaa, Dunia hivi sasa imebadilika sana tekinolojia inazidi kukua Kila kukicha...
0 Reactions
0 Replies
340 Views
Jambo Jambo? Wote tunajua kuwa mbali na Ajira huwa tunapiga mishe zingine za pembeni ili kujipatia kipato na kutoa msaada kwa wadau wanaouhitaji.Tupo kundi la watu kadhaa ambao kulinganana kazi...
0 Reactions
2 Replies
321 Views
Gari Nissan xtrail for sale Dar es salaam: Mwenge Milion 10.3 Karibuni. Namba: 0747713713
0 Reactions
0 Replies
559 Views
Kama title inayojieleza hapo juu, natafuta wakala wa safaricom au mtu mwenye cash kwenye safaricom mpesa kwa tanzania, nataka niweke pesa kwenye safaricom mpesa. Kama upo DAR itakuwa poa sana...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Kiwanja kipo maeneo ya kinondo mwendokasi kata ya Mabwe pande, Dar es salaam. Kina Sqm 400 kina structure au jengo lenye chumba na sebule na choo, kipo sehemu nzuri sana. Bei ni Tshs : 8.5m...
1 Reactions
9 Replies
920 Views
Camera nikon D90 inauzwa katika hali nzuri. Bei Tsh 900000 piga simu 0712652110 Dar.
1 Reactions
4 Replies
897 Views
Habari, Naitwa MGOLE MWITA CHACHA Nimepotelewa na vyeti vyangu vya shule pamoja na kuzaliwa vyenye jina tajwa hapo juu. CHETI CHA FORM FOUR-MAJANI YA CHAI SEC SCHOOL CHETI CHA FORM SIX-UWEMBA SEC...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari Wadau Onana nasi kwa huduma zifuatazo: Kwa habari ya mahitaji yako ya KUCHAPISHIWA (PRINTING): Calendar, Diaries, Tshirts, Mugs, Stickers, Posters, Books, Forms, Business cards...
1 Reactions
17 Replies
2K Views
Wadau hongereni na majukumu. Natafuta master bedroom ya hio bei. Location kuanzia Kimara mwisho - Ubungo. Isiwe mbali na Morogoro road. Angalau umbali uwe dakika 10 tu. Msaada tafadhali
0 Reactions
0 Replies
392 Views
Fridge Inauzwa: Fridge hii ni Brand ya INDESIT ambayo inatengenezwa na company ya Hotpoint ya Uingereza.. ina pooza na kugandisha vizuri.. Matumizi yake ya umeme ni Bora yenye level ya A+...
2 Reactions
3 Replies
689 Views
Nyumba Iko Kimara Suka - 1Km kutoka Morogoro road, kushoto ukiwa kama unakwenda Mbezi. Sifa za nyumba: Ziko mbili ndani ya fence 1 Vyumba 3 kimoja Master AC mbili (Sitting room moja na master...
2 Reactions
96 Replies
9K Views
Nauza Harddisk za desktop na laptop used kutoka Dubai, ukihitaji tafadhari nicheki kwa 0673330618 WHATSAPP na KAWAIDA
0 Reactions
0 Replies
465 Views
Hdd Gb 1,000 (1tb) inauzwa ndani ikiwa na baadhi ya Movie [emoji897] tofauti tofauti bei ni 90,000. Hdd ni Toshiba niko Kibaha Pwani, 0626 368 650
1 Reactions
0 Replies
426 Views
Asilimia kubwa ya magari huwa yanakuwa na warning lights(taa za tahadhari) za aina tatu. Aina hizi nitazitofautisha kulingana na rangi za hizo warning lights. Aina hizo ni kama ifuatavyo. 1...
41 Reactions
102 Replies
27K Views
Nauza gari yangu mwenyewe. Make: Toyota Model: Starlet Carat Cc 1300 Bei 5 million No plate DDB
1 Reactions
2 Replies
959 Views
Wakuu kuna tani 32 za mahindi zinauzwa, bei itategemea na sehemu ulipo maana nakuletea, ama ukiamua kuyafuata mwenye pia sawa Kwa maelezo na mawasiliano zaidi nicheki inbox
2 Reactions
6 Replies
893 Views
Kwa anaehitaji huduma ya kutengenezewa website na softwares nyinginezo sikiwemo za kuratibu shughuli zote za biashara yako nk. Karibu tuzungumze kazi inafanyika katika viwango vya juu sana kwa...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Simu kali sana used kutoka dubai zinauzwa bei ya kutupa. Kuanzia 250,000 unajipatia samsung S7 samsung S8 kwa 290,000 Samsung S9 kwa 320,000 Samsung S9+ kwa 380,000 Samsung S10 kwa 400,000...
3 Reactions
14 Replies
1K Views
Ubalozi wa Marekani utauza kwa njia ya mnada wa kimtandao (online auction) vifaa mbalimbali vikiwemo samani, vifaa vya nyumbani, vifaa vya kielektroniki na magari ya serikali: Mnada utafunguliwa...
4 Reactions
11 Replies
2K Views
Msaada jamani, Natafuta nyumba ya vyumba 3, nzuri au apartment Tabora mjini isiyozidi 2.0M, mwenye nayo au anijulishe please! Hela hiyo ni kwa mwaka. Kimoja self, iwe na Uzio na usalama wa kutosha!
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom