Huduma ya kuagizia bidhaa kutoka dubai bado zinaendelea leo nawaletea GAMING PC kwa NUSU BEI
🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪🇦🇪
Dell Precision 5520 4K
core i7 7th generation
RAM 32Gb
STORAGE 512Gb SSD...
Habari Wakuu! Nina uhitaji wa gari iliyopata ajali subaru Impreza model ya mwaka 2008-2010. Kwa mwenye salvage ya aina hiyo ya gari tunaweza kuwasiliana.
Habari wadau nahitaji licenced windows 10pro na ms office 2016
Ninatoa 100k
Nicheki 0621973591.
Note:
Sihitaji pirated wala cracked version.
Ikiwa kwenye cd yake ni bora zaidi.
Habari za muda huu wanajamii Forums. Kwanza kabisa napenda kumshukuru mwenyezi Mungu mwingi wa rehema alineyetujalia uzima.
Sasa nijielekeze moja kwa moja kwenye mada yangu. Kutokana na mwaka wa...
Hisense Smart TV 4k inch 75 bado mpya nyembamba imenyooka hizo picha tu ila ukiiona live ndo utakubali, imetumika miezii 3 inafaa kuoneshea mpira maana ni kubwa mwenyewe anashida na pesa haraka...
Nyumba inauzwa Kibaha kwa Mfipa(upande wa chuo)
Vyumba vitatu(master zipo 2)
Seble na jiko+choo cha public ndani
Eneo ni 23×33
Umeme upo, maji yapo
Km 2 toka moro road
Ndo inafanyiwa finishing
Ipo...
Hii nyumba inauzwa kwabei nafuu sana..ipo wilaya yamkuranga kijiji cha mwanadilatu iko kalibu sana na barabara.kwakutokea kitonga dar es saam kufika ilipo nyumba nidakika10 kwa bodaboda..nyumba...
Nahitaj vitunguu maji vilivyokauka vizuri kwa ajili ya kusafirisha.
Kwa sasa nitachukua gunia/net 110 ila ikifika nitarudia ingine. So nahitaj wale wenye kulima kitunguu ya kutosha na sio wa...
Habari. Kama ambavyo kichwa cha habari kisemavyo hapo juu natafuta kiwanja 25 mita kwa 20 mita nina sh 1m. Eneo Kibaha yote isipokuwa Mlandizi na Bagamoyo. Ni pm
Nahitaji kufahamu mahali na bei nzuri ya gaming laptop. Specs ziwe;
PC ya MSI
Specs i7, ram 32 ddr4, ssd 512, Gen 11
Invidia gforce RTX 3060 au zaidi
Graphics card 6gb au zaidi
Hata brands za...
Nauza vioo vya saloon viko viwili bado vipya kabisa ni vikubwa kila kioo kimoja nauza shilingi 100000 napatikana mwananyamala kwa kopa namba yangu ya simu ni 0716647360
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.