Mpimaji viwanja anahitajika

conservative3

JF-Expert Member
Nov 12, 2013
1,129
790
salamu wanajukwaa!
nina shamba ambalo nimeamua nipimishe viwanja.nimepata mchoro toka wizara ya ardhi sasa nahitaji ushauri na bei elekezi za upimaji viwanja.
eneo lina heka 20 liko mkoa wa pwani.
nimekwenda halmashauri husika (nilishauriwa wapimaji wanapatikana hapo) wamesema mtaalamu alieandaa mchoro anatakiwa anipe coordinate,mtaalamu anasema mpimaji makini akiangalia mchoro tu anajua coordinate,nisaidie kipi ni sahihi ,na nitumie taratibu gani au mbinu gani kufanikisha lengo langu.
je kuna wapimaji wa binafsi?gharama zao zikoje?wanatambulika na mamlaka za ardhi?
 
salamu wanajukwaa!
nina shamba ambalo nimeamua nipimishe viwanja.nimepata mchoro toka wizara ya ardhi sasa nahitaji ushauri na bei elekezi za upimaji viwanja.
eneo lina heka 20 liko mkoa wa pwani.
nimekwenda halmashauri husika (nilishauriwa wapimaji wanapatikana hapo) wamesema mtaalamu alieandaa mchoro anatakiwa anipe coordinate,mtaalamu anasema mpimaji makini akiangalia mchoro tu anajua coordinate,nisaidie kipi ni sahihi ,na nitumie taratibu gani au mbinu gani kufanikisha lengo langu.
je kuna wapimaji wa binafsi?gharama zao zikoje?wanatambulika na mamlaka za ardhi?
sq 500 mpk 1000 ni sh 300000,kama linazid hapo tutaongea
 
Kuna jamaa wanaitwa Land General Company Ltd wapo nyumba ya stendi ya Mail moja karibu na mgahawa fulani nimesahau jina. Waone walinisaidia sana wakati nafanya upimaji wa shamba langu huko Kiluvya.
 
Nahitaji Mtu wa kunipimia Eneo langu lenye 25 X 45

Upande wa kushoto, kimepakana na kiwnj kilichopimwa.

Ni PM huku ukiwa na taarifa kamili za gharama na Mchakato Mzima.

Karibuni.
 
asanteni,naendelea kupokea mapendekezo.na mwisho ntarejesha matokeo na ushauri ili nifanye maamuzi sahihi.
 
Kuna jamaa wanaitwa Land General Company Ltd wapo nyumba ya stendi ya Mail moja karibu na mgahawa fulani nimesahau jina. Waone walinisaidia sana wakati nafanya upimaji wa shamba langu huko Kiluvya.
Ulitumia pesa kiasi gani mpk zoezi linakwisha?
Asante
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom