Mwana jf wa Kyela...please

Mwana jf wa Kyela...please

Hee hee wanaogopa kubebeshwa viloba vya Unnyanfu(mchele)
 
Hebu wasiliana na Mtanzania (George Mwakalinga) ambaye ni Member wa JF kwa jina hilo la MTANZANIA.

Ingawa hayupo Kyela kimwili, yupo sana pale kimawasiliano na atakupa watu/mtu unayemtaka.

Mtumie PM na nina imani atakujibu haraka sana.

Kila la kheri.
 
Back
Top Bottom