Mwana jf wa Kyela...please

Hebu wasiliana na Mtanzania (George Mwakalinga) ambaye ni Member wa JF kwa jina hilo la MTANZANIA.

Ingawa hayupo Kyela kimwili, yupo sana pale kimawasiliano na atakupa watu/mtu unayemtaka.

Mtumie PM na nina imani atakujibu haraka sana.

Kila la kheri.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom