The Boss JF-Expert Member Aug 18, 2009 49,110 115,873 Jun 17, 2012 #1 kama kuna mtu hapa jf anaishi kyela au anakwenda mara kwa mara from dar naomba tuwasiliane please
mfianchi Platinum Member Jul 1, 2009 11,855 8,251 Jun 20, 2012 #5 Hee hee wanaogopa kubebeshwa viloba vya Unnyanfu(mchele)
Sikonge JF-Expert Member Jan 19, 2008 11,550 6,062 Jun 20, 2012 #6 Hebu wasiliana na Mtanzania (George Mwakalinga) ambaye ni Member wa JF kwa jina hilo la MTANZANIA. Ingawa hayupo Kyela kimwili, yupo sana pale kimawasiliano na atakupa watu/mtu unayemtaka. Mtumie PM na nina imani atakujibu haraka sana. Kila la kheri.
Hebu wasiliana na Mtanzania (George Mwakalinga) ambaye ni Member wa JF kwa jina hilo la MTANZANIA. Ingawa hayupo Kyela kimwili, yupo sana pale kimawasiliano na atakupa watu/mtu unayemtaka. Mtumie PM na nina imani atakujibu haraka sana. Kila la kheri.