Ongeza dau
nenda show room utapata nzuri kwa bei nzuri mkuu, usiwe wa mtumba kiasi hico
Kama uko na mil 6 sema nikuunganishe na mshakaji wangu, yeye ni dalali wa magari kinondoni.Wakuu, mwenye gari aina hiyo, nahitaji kwa matumizi binafsi, isiwe mbovu, niko Dsm... Bubget yangu ni tsh. 5,000,000/=
Kama uko na mil 6 sema nikuunganishe na mshakaji wangu, yeye ni dalali wa magari kinondoni.
Kwani unadhani ajaenda show room??mpaka kaja hapa na Ml5?....au za show room siyo mitumba?...pesa yako ni ndogo kwa vitz utapata mbovu!nenda show room utapata nzuri kwa bei nzuri mkuu, usiwe wa mtumba kiasi hico