Nyumba ipo kinondoni ada estate unaingilia kinondoni makaburini. ina vyumba 3 kimoja master jiko na sitting room kubwa, umeme na maji yapo. compound inatosha gari 2 mpala 3 .bei lak 5 kwa mwezi. kwa anayeta tuwasiliane 0778 625 038 na 0657 145555.
Mpwa halahala kidole na Jicho bhana, hii nyumba sio ndio ile ya Ujambazi wa taifa a.k.a Usalama wa Taifa? iko jirani na kituo cha Polisi Kinondoni Shamba mahali lilipo Bango la Sunray Nursery School, nje ina CCTV Cameras na inaonekana kama haikaliwi hivi!!!!!!! Sio hio kweli Mpwa? Si ndio humo wanasema kawekwa sijui nani yule aliemnanihii tabibu fulani hivi majuzi??? Mie sitaki kesi bhana
Me Nikishasikia makaburini kha! Isiku sijui unalala vipi ukipiga hesabu nje Mizimu akiamka! na hapo kinondoni wale Madada huwa wanajisevia juu ya hayo makaburi kazi hii Sasa!!! kuna kitu kilikuwa kinaitwa Mwembe Jini!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.