Nyumba inapangiswa ada estate kinondoni

Akiri

JF-Expert Member
Sep 21, 2010
1,445
212
Nyumba ipo kinondoni ada estate unaingilia kinondoni makaburini. ina vyumba 3 kimoja master jiko na sitting room kubwa, umeme na maji yapo. compound inatosha gari 2 mpala 3 .bei lak 5 kwa mwezi. kwa anayeta tuwasiliane 0778 625 038 na 0657 145555.
 
Mpwa halahala kidole na Jicho bhana, hii nyumba sio ndio ile ya Ujambazi wa taifa a.k.a Usalama wa Taifa? iko jirani na kituo cha Polisi Kinondoni Shamba mahali lilipo Bango la Sunray Nursery School, nje ina CCTV Cameras na inaonekana kama haikaliwi hivi!!!!!!! Sio hio kweli Mpwa? Si ndio humo wanasema kawekwa sijui nani yule aliemnanihii tabibu fulani hivi majuzi??? Mie sitaki kesi bhana
 
Me Nikishasikia makaburini kha! Isiku sijui unalala vipi ukipiga hesabu nje Mizimu akiamka! na hapo kinondoni wale Madada huwa wanajisevia juu ya hayo makaburi kazi hii Sasa!!! kuna kitu kilikuwa kinaitwa Mwembe Jini!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom