Upande wa nyumba unapangishwa sinza mori!

NET JOBS

Member
Apr 18, 2011
10
0
Upande wa nyumba unapangishwa Sinza Mori, 1 bedroom, 1 sitting room, kitchen, bathroom/toilet na kabaraza kadogo ka kupumzikia.

Inafaa pia kwa ofisi ndogo ndogo kama za NGOs nk.

Malipo ni elfu 30 (Tsh 30,000) kwa siku.

Malipo kwa kila siku, wiki au Mwezi yanakubalika.

Inafaa kwa watu wenye kutaka mkataba wa muda mfupi kimakazi au kiofisi.

Maombi yote yatumwe kupitia email: mapinduzichinga@gmail.com

Karibu!

 
Back
Top Bottom