Nyumba ina vyumba vinne na sebule na dinning room,ina tiles, pia ina umeme na maji, ina uzio(gate) pamoja na frem moja ya biashara na ina parking nzuri ya gari. plot imepimwa no.1870 nyumba ipo maeneo ya karibu na hospitali ya malawi-vituka. Bei yake ni milioni 70. Nyumba ipo katika hali nzuri. contact: 0719 075 175