Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kuna land cruiser prado. Engine 4KZ Automatic Gear box... Bei Million 20...Contact 0713804347
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu, Kwa aliye na interest,ninauza shamba langu la ekari 12 lililopo kiluvya makurunge. Ni sehemu nzuri sana ya kufugia esp ng'ombe,kuku na kitimoto.Pia ni sehemu iliyoendelezwa,kuna...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
ORDER NOW: O754 710870 0769 888605 0786 139316 0783 454523 gorretti54@gmail.com maelezo zaidi: https://www.foreverliving.com/marketing/Category.do?name=Sonya_Face
0 Reactions
0 Replies
896 Views
ORDER NOW: 0754 710870 0769 888605 0786 139316 0783 454523 gorretti54@gmail.com
0 Reactions
0 Replies
963 Views
Kumekuwa na ongezeko kubwa la simu zisizokidhi viwango vya ubora hivyo kusababisha majanga (ajali) wakati wa matumizi wa simu hizo. Je umewahi kununua simu ukapatwa na tatizo kama kulipuka ikiwa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Playstation 3 in perfect condition haina tatizo lolote ina 160GB...price ni 600,000.....if ur interested pm me.......
0 Reactions
1 Replies
841 Views
SAMSUNG MOBILE PHONE GT-S3650 2.0MP CAMERA FULL- TOUCH LCD MICROSD. Inafanya kazi na ipo katika hali nzuri kabisa bei laki na nusu sh150,000 . wasiliana na Habibu 0717810318
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nauza Nokia Asha 203 mpya. Bei kuanzia laki na nusu lakini tunaweza kuongea. Anayehitaji ani PM.
0 Reactions
0 Replies
670 Views
Hii laptop iko poa kabisa, tatizo ni battery imeshachoka inahitaji replacement, ukitumia kwa kuunganisha mojamoja na adapter inafanya kazi fresh kabisa Processor Intel Core 2 Duo T5200 / 1.6 GHz...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Habari za leo wadau. Kwa mtu aliyenao, au anayefahamu wanakoweza kupatikana, nahitaji Puppy wa kununua aina ya ROTTWELLER (pure breed). BEI: Nitumie PM kufahamisha bei na namna ya kumpata...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
kina ukubwa wa sqm 1000 kipo boko block C Plot no.... kimepimwa na kina offer kuna umbali wa 1km kutoka barabara kuu. Bei ni 10,800,000 hiyo pei haina kupunguzwa mimi ni dalali mililiki yupo ukiwa...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Hili tangazo nimelichukua jukwaa la uchumi, lakini hata wanasiasa linaweza kutufaa. Nimeongea nao kwenye simu wanasema ukiwa email utapatiwa fomu kisha utafanyiwa kazi. Kwa waliochezewa na...
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Kiwanja 600msq kipo maeneo ya Majohe, 100m kutoka barabarani na kina hati kabisa. Hakuna mtu wa kati bei ni sh 8.6M Barabara ni nzuri kabisa wakati wote. Serious people please inbox for more...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nyumba inapangishwa Ina vyumba vitatu vya kulala, sitting rm na kitchen. Ipo ndani ya fensi na unaweza kupaki magari mawili. Maji yapo ya mgao. Kodi ni Tsh 300,000 kwa mwezi. Kwa wale ambao wapo...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Vp jamani wana jf mwenye maelezo atiririke bac au co. Size. Bei. nk
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wadau wote, Tunatoa ushauri wa kitaalamu katika mambo yafuatayo:- 1. Uanzishwaji wa radio mpya. - Vifaa mpaka ordering. - Lisence regestration (TCRA) - Human resources (Tantive...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau wote, Tunatoa ushauri wa kitaalamu katika mambo yafuatayo:- 1. Uanzishwaji wa radio mpya. - Vifaa mpaka ordering. - Lisence regestration (TCRA) - Human resources (Tantive...
0 Reactions
0 Replies
837 Views
Naomba msaada wa kukotoa niandae kiasi gani kwa Tshs. ili kulipata hilo gari na kulisajili hapa Bongo
0 Reactions
6 Replies
3K Views
natafuta ofisi ya kupanga, nahitaji sehemu kulipo na ofisi zingine pia, sehemu iwe ya kuvutia kwashughuli za kiofc/isiwe frem tafadhali. mahala/sehemu from eneo la ubungo to shekilango au ubungo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau, kuna promotion/sampling ya kampuni moja tulifanya na tukakusanya majina pamoja na namba zao za simu.Kwa yule anaehitaji nimuuzie tuwasiliane.Ni contacts kama 3,000 za watu wa Dar.
0 Reactions
59 Replies
6K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…