Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Nyumba hii haijakamilika. Ina vyumba vitatu vya kulala. Ipo katika kiwanja chenye ukubwa wa mita 50 kwa mita 30. Bei ya kuuzia ni sh 45mil. kukiona au maelezo ya ziada tuwasiliane kupitia 07171114409.
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Ina vyumba viwili vya kulala, sebule, dinning, jiko. kodi 1,1mil. Kwa maelezo zaidi au kuiona piga simu 0784225000
0 Reactions
2 Replies
932 Views
Nina uza sony HDR-HCIE HDV 1080i MiniDV digital camcorder , Imetumika lakini inafanya kazi na ipo katika hali nzuri sana ambayo kama mpya na kama inavyo onekana katika picha bei yake sh/milioni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Shamba hili liko Tundwi Songani karibu na barabara itokayo Kibada Kwenda Tundwi Songani (umbali wa kilometa 26 toka Kibada). Kwa mawasiliano piga simu 0787 110 117 au email: tubuni@hotmail.com
0 Reactions
5 Replies
2K Views
nauza digito kamera aina ta nikon ina mega plx 14 na internal memory 8gb ni yakuchaj,ina cable zake zote,c mchina,nauza laki 2.5, piga 0652740304 its me ally riyami
0 Reactions
11 Replies
3K Views
kama kicha cha habari kinavyoeleza hapo juu. hii scholarship imetolewa na na TANZANIA COMMUNICATIONS REGULATORY AUTHORITY. kama wataka jua zaidi kuhusu hii scholarship na scholarships nyingine...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau nahitaji simu moja wapo kati ya hizo' mwenye nayo anicheki fasta leo leo tumalize biashara. Call or text 0753196849
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Modem ya vodacom inahitajika !! Pm me or comment for quick deal
0 Reactions
1 Replies
914 Views
[Didscom IT Solns],tupo Mikocheni A karibu na Shoppers Plaza.kwa maelezo zaidi tucheki kwa 0718888656/0717995793/0762183852.
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Viwanja 24 vilivyopimwa vinauzwa, vina ukubwa mbali mbali kama ifuatavyo. SQM 576 VIPO 3, SQM 741, 730, 1286, 450, 340,438,446, 576 VIPO 3 vinafuatana, 814,770 vipo 3 vinafuatana. viwanja hivi...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Nokia c6 for sale, in good condition used for 2 months.......pm or call me if needed 0782221405
0 Reactions
0 Replies
758 Views
mwenye taarifa ya nyumba ya kupangisha Bariadi naomba tuwasiliane. Natanguliza shukrani
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ujazo wa kiwanja ni 4,431 sqm, size yake ni 55M upana na Urefu 81M. Bei ni Tsh 45,000,000/=. Kiwanja Kipo umbali wa mita 100 kutoka ukuta wa fensi wa Ikulu Mpya. Kiwanja kimepimwa na kina Hati...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
kama wewe ni mjasiliamali ama unataka kuwa mjasiliamali na unaitaji kujifunza juu ya kutengeneza Rosella wine, basi wasiliana na mimi nikufundishe kwa bei rahisi tu, mawasiliano ni 0652-110878
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Hello wanaJF, heshima kwenu Kama una swali lolote kuhusu huduma za ATM za umojaswitch tuulize kwenye twitter uswegelm au @Linassamson mara zote tumia hashtag #UmojaSwitch tuambie kuhusu...
0 Reactions
46 Replies
7K Views
Nyumba Inauzwa ipo: Ulongoni - Kinyerezi, Sifa: Master bed room,three family rooms, Kitchen,tap water, Tanesco wired, Direct access to main road, store and public toilet, sitting room...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Hi, Wana JF natafuta nyumba ya kupanga maeneo ya mbezi beach, mwenge au mikocheni. Iwe na ukubwa wa wastani angalau ya vyumba viwili vya kulala.
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kama unahitaji ni pm!
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Freelancer Graphics Designer online in"Page Layout, Publishing, Illustrations & Adverts" na mzuri katika Adobe photoshop, Adobe illustrator ,Adobe indesign na Coral Draw, na uzoefu wa miaka ya...
0 Reactions
1 Replies
814 Views
Wadau bajeti yangu ts200,000=natafuta simu ya kisasa hata used,iwe inakaa na chaji,haina usumbufu kwenye mambo ya internet na music,nikipata window mobile itakuwa safi sabAbu nimetumia siku...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Back
Top Bottom