Salaam Great Thinkers,
Nahitaji kununua kiwanja cha kujenga nyumba ya kuishi familia yangu. Mambo ya kuzingatia katika utafutaji:
1: Maeneo - Mbezi beach; Kilimahewa; Ununio; Mbweni; Tegeta...
Habari,
Nauza simu yangu ni bold 9780 iko katika condition nzuri kabisa. Sababu ya kuuza kwakua nimeagiza simu nyingine! Bei ndo hiyo 350,000/=
Nicheki kwa 0753196849...
Application
1. Vehicle rental/special tracking system for outside machine
2. Finance and insurance business tracking system.
3. Car commanding and dispatching system
4. Heavy construction vehicle...
Poleni kwa majukumu ya kulijenga taifa letu la tanzania.kutakuwa na maombi ya kuliombea taifa letu la tanzania na kuvunja laana zote zilizowekwa katika ardhi ya tanzania.
Eneo ni safina radio...
Hi!..everybody.
Nahitaji simu/PDA yeyote yenye spesification zifuatazo:
1. Iwe Windows mobile 5.0 au 6.0
2.Iwe na Infrared port
kwa kukodisha kwa two weeks na utapewa simu ya...
Hi!..everybody.
Nahitaji simu/PDA yeyote yenye spesification zifuatazo:
1. Iwe Windows mobile 5.0 au 6.0
2.Iwe na Infrared port
kwa kukodisha kwa tu week na utapewa simu ya...
Wanajf naomba kujuzwa structure mpya ya kodi ya imported vehicle km ilivyopendekezwa na serikali kuanzia july 2012. Ktk website ya tra bado structure ya zamani inaonekana yenye kuelezea uchakavu...
LOCATION: Mwanza
PRICE : 150,000/=
CONDITION: USED but still New(1.5 Month used)
DUAL SIM LAINI MBILI IT'S ORIGINAL
CONTACTS: 0765550340 and 0688002782
FULL MOON BEACH PARTY XPERIENCE goes down at VELISAS BEACH CLUB in Kawe(near PICOLO) this Friday, 29th June from 8pm-8AM. Its more than a beach party, more than a full moon party. Its a full moon...
Habari za kazi wakubwa natafuta CPU yenye hard disk 40B, RAM 1GB, pia nitapenda sana iwe inatumia Hard disk za SATA.mwenye nayo anipe bei nije kuichukua mara moja.
Halina hati ya serikali kuu bali lina hati ya serikali ya mitaa/kijiji. barabara inafika hadi shambani. Eneo ni tambarare, inafaa kwa ujenzi na kilimo. napatikana jumamosi na jumapili tu, kwa...
Wadau nauza FLAT TV HD READY SHARP 32 INCHES INA HDMI CONNECTIONS...INA HALI NZURI USED NIMETUMIWA NA RAFIKI YANGU TOKA JAPAN.....BEI 750,000 MAONGEZI YAPO...NIPO DAR CITYCENTRE...KAMA UPO SERIOUS...
Hali zenu wana bodi,
Naleta kwenu tangazo la kuuza eka moja ambayo
ipo kibaha kwa matias. Ni mkono wa kushoto kama
unakwenda morogoro. ni jirani na makao makuu ya chuo kikuu huria.
eneo lina hata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.