toshiba laptop for sale..ipo in good
condition..dual cpu @2.3ghz,4gb ram
ddr3,500gb hdd,1780mb video
ram,win 8 release prev n win 7 ultimate
edtn wit vmware wit ubuntu 12.04,mint
13 and win...
.
Shamba linahitajika kununuliwa haraka kwa ajili ya shughuli za kilimo, liwe kuanzia maeneo ya Kibaha mpaka kuelekea Mkoa wa Morogoro. kwa yeyote mwenye nalo au mwenye taarifa za kuwezesha...
TOYOTA PREMIO 2001/6 Car for SALE
Details
Power Steering, Air Conditioner, Anti-Lock Brake System, Dual Air Bags, Power Windows
TOYOTA PREMIO 2001/6 Details
Year: 2001
...
Jambo!!
Naomba mnisaidie kwa yeyote anayejua wapi naweza kupata Mashrooms.Kwanza niliambiwa naweza kupata soko la kisutu, nimeenda hakuna,nikaambiwa jaribu katika supermarket, nina wasiwasi za...
GARI LINAUZWA-TOYORA RAV4 5 DOORS-NI LA MWAKA 2003 KWA MAWASILIANO PIGA SIMU NO. 0767212523 AU TUMA UJUMBE KWENYE EMAIL: p.ayubu@yahoo.com. imetembea kilomita 99000,haijawahi tumika Tanzania...
Kiwanja chenye size 30m kwa 30m kinauzwa kipo tabata kinyerezi na bei yake ni shs Ths.22mill na kipo umbali wa kilomita moja kutoka barabara kuu
mawasiliano; 0783422874
Wadau,
Nimepokea SMS kutoka kwa namba moja hivi nisiyoitambua. Ujumbe wenyewe huu hapa chini.
Unakaribishwa kwenye mkutano wa kujitambua, kuelimika jinsi ya kuboresha maisha na kuachana na...
gari aina ya peugeot salon
iko katika hali nzuri vilevile iko pimped yan imeongezewa vitu kama music system...etc kwa maelezo zaidi wasiliana na no.0719004668
any one selling bold 9900 new or used @ reasonable price should contact me on 0713079282 for bargaing
, i will also like to get it with all accessories.NO SCRATCHES ON PHONE PLZ
FOREVER ALOE SCRUB
Ni mchanganyiko maalum wa stabilized Aloe Vera Gel pamoja na mbegu halisi ya jojoba.
Huwezesha kuondolewa taratibu seli zilizokwisha muda wake kwa urahisi, huondoa...
Nauza Bajaj wakuu ni 2L haijatembea mwezi mmoja, pia inahitaji matengenezo madogo ya brake injini iko powa, insurance imeisha mwezi wa tano. bei 800,000 PM me pls
Hello WanaJamii,
Natafuta taa za mobile studio kwa ajili ya kupigia picha (studio photography lights), ziwe ni flash (not continous lights i.e for video) na miavuli meusi (balck and silver...
Kiwanja cha mita 15 kwa 15 chenye nyumba ambayo bado haijamalizika kujengwa kinauzwa Mianzini Arusha mjini. Bei ni maelewano. karibuni wote wenye uhitaji. Piga 0757528827 kwa mawasiliano.
Salama?
kwa wale wajengaji tarajiwa na wanaohitaji interior designs services wanakaribishwa kupata huduma bora kabisa
unaweza cheki sample ya designs zetu na kuplace oda kwa design ya kulingana...
Ni apartment ipo floo ya kwanza, ina vyumba 3 kimoja master, public toilet, kitchen,dining, Air condition. tiles ina usalama wa kutosha eneo limezungushiwa ukuta na linausalama mkubwa. bei $ 1200...
FOREVER ALOE MPD
Ni sabuni inayoweza kutumiwa kwa ajili ya kusafisha na kuua vijidudu
Ina matumizi ya kusafisha vitu vingi, ikiwemo ; kufualia nguo, kuoshea vyombo ,kudekia sakafuni...