Ndg wadau voucher za viwanja vya mradi wa Gezaulole zimetoka. Kwa wale amabo majina yao yalitoka wakafuatilie. Wale amabo hawakupata mimi nimepata lakini uwezo wa kulipia sina. Kama uko tayari kunipa compensation kidogo nikupe voucher yangu ukalipie. Tuwasiliane kwa PM.