Jamani wanaume wa tabora tujitokeze kwa wingi kufanyiwa tohara,ni bure hakuna gharama yoyote,kwa wanaume wenye umri zaidi ya miaka 18 unaweza kuja peke yako au na mkeo kufanyiwa tohara,kwa wenye umri chini ya miaka 18,uje na mzazi wako au mlezi wako,tafadhari fika kituo cha afya bila kukosa,nawatakia tohara njema!!