Tangazo tangazo!!

sugi

JF-Expert Member
Feb 12, 2011
1,392
293
Jamani wanaume wa tabora tujitokeze kwa wingi kufanyiwa tohara,ni bure hakuna gharama yoyote,kwa wanaume wenye umri zaidi ya miaka 18 unaweza kuja peke yako au na mkeo kufanyiwa tohara,kwa wenye umri chini ya miaka 18,uje na mzazi wako au mlezi wako,tafadhari fika kituo cha afya bila kukosa,nawatakia tohara njema!!
 
Kweli nimekaa Nzega na nimeona vijana wengi tu wapo na magovi ni wakati muafaka kwa wao kuweka mambo yao sawa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom