Kuitwa kwenye usaili - Bandari.

fmlyimo

JF-Expert Member
May 4, 2012
324
198
Majina ya waliofaulu usaili wa kwanza kama karani daraja c na nafasi nyingine yametoka hapa Utumishi, bandari. Hivyo wanaitwa kwenye usaili wa pili wa mahojiano. Uje usome jina lako ujue siku ya usaili.
 
Majina ya waliofaulu usaili wa kwanza kama karani daraja c na nafasi nyingine yametoka hapa Utumishi, bandari. Hivyo wanaitwa kwenye usaili wa pili wa mahojiano. Uje usome jina lako ujue siku ya usaili.

heri yao watakao faulu kwa haki, na ole wao watakao faulu kwa mizengwe
 
Back
Top Bottom