Nahitaji mbia (partner)

Nahitaji mbia (partner)

Kashaijabutege

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2010
Posts
2,696
Reaction score
740
Mie ni Certified Public Accountant (CPA) na nimesajili kampuni kwa ajili ya ushauri wa mambo ya biashara, na pia nimesajiliwa na TRA kama Tax Consultant. Kwa sasa nashughulikia leseni ya biashara ili kampuni ianze biashara rasmi, na tayari ninao wateja wawili.

Shida yangu ni kupata mbia mhasibu au mwenye uzoefu wa mambo ya kodi, na si lazima awe na CPA, ili nishirikiane naye. Kama mtu wa namna hii yupo na ana nia ya kujiajiri, naomba tuwasiliane kupitia namba 0784 953 558.
 
ni limited co au partnership?.upo tayari kuchange partnreship deed kumpa partner wako shares.
 
ni limited co au partnership?.upo tayari kuchange partnreship deed kumpa partner wako shares.

Kanga, ni limited company kwa sababu partnership ilinisumbua kupata mtu mwenye CPA aliyesajiliwa kama katika Associate au Fellow. Mtu akipatikana, tutafile BRELA ili kubadili Wakurugenzi na umiliki wa hisa.
 
mimi nilitamani lakini si mhasibu ni undergraduate hr na namalizia masters in project mgt napenda mambo kama hayo ya kujiajiri nakushauri ifanye organization yenye mult skills then can contact me for views
 
Back
Top Bottom