Kiwanja hiki kipo hapa Ada Estate pembeni mwa barabara ya Tunisia kinatazamani na Luxury apartment . karibu kabisa na ilipokuwa hospital ya Moyo au leaders club kiwanja kimezunguziwa ukuta na katikati imejengwa nyumba . anatafutwa mwekezaji ambae atajenga kitegauchumi cha aina yoyote . Ada estate ipo kinondoni Dar es Salaam. kama unahitaji eneo hili tuwasiliane
0657 145555 au 0778 625 039 .
Pia nina eneo la sqm 1898 hapo mtaa wa kitonga upanga nalo linataka mwekezaji katika eneo hili unaweza jenga nyumba 2 kwenye hicho kiwanja kimoja na pia eneo la heka moja hapo tom estate kurasini ambalo linauzwa lipo karibu kabisa na bandari sehemu wanapopakia mizigo kwenye magari makubwa in eneo kubwa na zuri sana kibiashara. ( mimi ni Dalali wenye mali wapo na copy ya nyaraka za maeneo hayo ninazo unaweza kuja kuona nyaraka kisha ukaone eneo)au waweza ni pm
0657 145555 au 0778 625 039 .
Pia nina eneo la sqm 1898 hapo mtaa wa kitonga upanga nalo linataka mwekezaji katika eneo hili unaweza jenga nyumba 2 kwenye hicho kiwanja kimoja na pia eneo la heka moja hapo tom estate kurasini ambalo linauzwa lipo karibu kabisa na bandari sehemu wanapopakia mizigo kwenye magari makubwa in eneo kubwa na zuri sana kibiashara. ( mimi ni Dalali wenye mali wapo na copy ya nyaraka za maeneo hayo ninazo unaweza kuja kuona nyaraka kisha ukaone eneo)au waweza ni pm