Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Ni kiwanja kizuri kipo pembeni ya barabara kwa mujibu wa ramani. kipo eneo la Bunju A wilaya ya kinondoni. kina sqm 1,000 kimepimwa na kina hati. tunahitaji mnunuzi wa haraka bei powa ni Tsh...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Waungwana swalama? Wale wa kufunga, poleni na hongereni sana. Nina shida ya kununua farasi na kumfuga kwa Dar es salaam, ni wapi naweza pata mbegu nzuri ya farasi, kwa yoyote mwenye idea ya...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wadau habari zenu........naweza kupata wapi wachoraji wa tattoo kwa dar es salaam au stika zile za temporary tattoo zinauzwa wapi. Nawasilisha wadau
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Nimepambana na udanganyifu mkubwa wa ukusanyaji kodi unaofanywa na watu ambao siyo waaminifu kwa kutumia jina la TRA. Mwenye namba simu nambako naweza kuripoti tatizo nililokutana nalo tafadhali...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
'''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''''
0 Reactions
0 Replies
798 Views
Wadau ninauza gari yangu aina ya Toyota Premeo iko katika hali nzu ya mwaka 1998 nimekuwa nikiitumia kwa matumizi binafsi na regular service. Ni imara kabisa mwenye hela anitafute wiki ijayo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habar!Nahitaj laptop ya kununua. Iwe ni inchi 14 na ram isiwe chin ya 4gb na hdd 500gb. Iwe ni dell latitude e series, dell xps au lenovo. Tuchekiane kupitia 0753196849
0 Reactions
0 Replies
923 Views
Stabilizer for fridge inatakiwa wadau mwenye info zozote anisaidie
0 Reactions
1 Replies
900 Views
Mwenye eneo kurasini au karibu na hapo la heka 1 au zaidi linahitajika haraka sivibaya kutaja bei yako 0784236210
0 Reactions
2 Replies
956 Views
Am selling my iphone 3gs 8gb, good working condition, Bei 300,000 bila punguzo if ua interested call o text me on 0717416100. Karibuni
0 Reactions
0 Replies
912 Views
Kwa yoyote mwenye GPS hata kama ni used plse call 0714432979 inahitajika haraka sana kwa bei poa, nipo Dar
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakubwa natafuta Toyota colola sedan E-AE114 iliyo tumika hapa bongo nina 3m. ni pm kama unayo plz
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Waungwana nauza panasonic PABX yenye uwezo ya kufunga simu za analog 150 na simu za digital 16 pia unauwezo wa kuunganisha na line 16 external Inafaa kwa kushuli zifiatazo Mashule Hotels Guest...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habarini za majukumu wakuu, natumai mpo safi na mnaendelea na ujenzi wa taifa dhaifu kama kawaida! Mi nina Rav 4 ya mwaka 1997, automatic, mileage yake ni 113,000, namba BXR, ya silver, milango 5...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habarini za majukumu wakuu, natumai mpo safi na mnaendelea na ujenzi wa taifa dhaifu kama kawaida! Mi nina Rav 4 ya mwaka 1997, automatic, mileage yake ni 113,000, namba BXR, ya silver, milango 5...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Asali mbichi toka sikonge Tabora inapatikana, pia utapata elimu ya jinsi ya kuitambua asali iliyochakachuliwa, iko kwenye containers za lita 1, lita 5, na lita 20. Lita1 - Tshs. 12,000; lita 5...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Wapi? Kigamboni (km 13 kutoka feri) Unavuka kibada Kwenye mradi? Hapana. Hili nieneo lililo nje ya mradi wa mji mpya Ukubwa? Miguu 20 upana, na miguu 45 urefu Kimeendelezwa? Kina banda zuri...
3 Reactions
11 Replies
2K Views
Waungwana nauza panasonic PABX system yenye uwezo wa kufunga extension 150 za simu ambazo ni analogy na digital Inafaa kwa matumizi ya Shule College/ vyuo Ofisi Hospital / zahanati Hotel...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wanajamii salaam. Nahitaji E book reader. Brand NOOK au SONY READER WIFI T1, preferred. mwenye nayo an PM. Nawakilisha
0 Reactions
0 Replies
843 Views
Ninauza Blackbery Mpya kwa bei poa karibuni. Kwa mawasiliano zaidi nitumie PM.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom