Shamba lipo Kibaha mkoa wa Pwani, karibu na mto luvu ni ubali wa 3km kutoka barabarani . shamba lina miembe , mikaratusi, michugwa . na mikorosho lina hati lipo karibu na mto umeme hauko mbali . linauzwa 420m kwa mawasiliano kwa anayetaka 0657 14555, 0686 200117 Akiri au 0655 278278. 0787 278278 Adili sisi ni madalali mwenye shamba yupo muda wowote unaweza muona hata namba naye tutakupa.