Eti nyie airtel hebu nielewesheni, kwenye hili tangazo lenu mmeweka hela halafu imekatwa, halafu mmeandika hauchajiwi ndio kusema kwamba hamkati hela sasa mbona tangazo lenu wenyewe ndio...
Habari zetu wanajamvi natafuta kiwanja maeneo husika hapo juu na maeneo yanayoendana na hayo katika mkoa wa tanga,nitumiye private message kama unacho.Siku njema na weekend njema wakuu...
Habari zenu wakuu,
Nataka kufungua account ya kampuni (ltd), naomba mawazo yenu ni benki ipi nchini Tanzania iwapo nikifungua account ya kampuni itaniweka katika nafasi nzuri kiusalama na...
Toyota Corolla EG1 nyeupe inauzwa.BEI MIL 4.5 imetembea 91898 km,na inatumika kwa matumiz binafsi....iko Dar es salaam!UNARUHUSIWA KUJA NA FUNDI KUIONA
0764 468 469
Habarini za asubuhi.Jamani kuna yoyote anaweza kuniambia dula lipi la vifaa vya ujenzi naweza kupata floor molding za quality ya juu kama kwenye picha hapa chini
Habari za muda huu waungwana!Picha hiyo hapo juu ni moja kati ya picha zinazoonyesha
Kiwanja ambacho KINAUZWA maeneo ya Mbagala Chamazi, Kwa bei ya Tshs 10,000,000 lakini bei inapungua
KIMEPIMWA...
Kwa mahitaji ya ramani unaweza kuwasiliana na mimi kupitia 0752 615637, 0655615637.
Pia nimeshafanya ramani nyingi kama mtakazo ziona kwa picha kwenye attachment.
ZINAKUJA NJIANI,ziko nyingi..specificationz zake hizi hapa
GENERAL
2G Network
GSM 850 / 900 / 1800 / 1900
3G Network
HSDPA 850 / 1900
BODY
Dimensions
114 x 58 x 15 mm
Weight
150 g...
J.D.M Health Consultanttunahusika na utoaji wa ushauri wa afya hasa kwa magonjwa yanayotokana namaisha tunayoishi hivi leo (life style diseases) kama kisukari, shinikizo ladamu, saratani, vidonda...
Wadau!
Kwa anayependa kuweka oda, nina 4 Puppies (100% PURE GERMAN SHEPHERD PUPPIES), wote madume ndiyo kwanza wamezaliwa ila kwa anayehitaji anitumie PM; watakuwa tayari kutolewa baada ya wiki...
Hello wana jamii,shughuli zinaendaje?jamaninauza kuku wa nyama wa kisasa maarufu kama broilers,kwa bei nafuu kabisa kama ifuatavyo;
kuku akiwa mzima hajachinjwa ni shilingi 5,000/=...
ni nyumba nzima. ina vyumba vitatu vya kulala, self 1 ina AC, jiko dining. Car park, iko ndani ya fensi. Laki tano kwa mwezi. Kwa mawasiliano 0652842271;0655675500.