specification angalau ziwe kama ifuatavyo....
ram....2gb na kuendelea
processor....2.5 na kuendelea
hdd....200 na kuendelea!!
email yangu hii hapa...jonx.palx@gmail.com....bei iczidi 350000
watanzania tumekuwa used kwa kila kitu
sishauri sana ununue used laptop tena mikononi mwa mtu ambayo utakaa nayo miezi miwili inakuwa kimeo
bora ujifunge ununue walau mpya hata za dola 400 zipo pia pale.
tuelimike kutokuwa used kwa kila kitu wakati kwa hela aliosema anaongeza hapo kidogo anapata mpya.
kacheki pale ubungo complex kuna maduka yanauza laptops pia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.