viwanja nilivyonavyo leo-gezaulole

viwanja nilivyonavyo leo-gezaulole

yes ile iliyoandikwa kwa wino inakuwa deposited kwenye account ya manispaa na ile iliyoaandikwa kwa peni owner ni ya mwenye shamba na milioni moja ya udalali
 
Nji ya wajanjawajanja hii........yaani dalali anakula 1,000,000 irrespective of plot size!....kiwanja kimenunuliwa Agosti 27 kwa milioni 1.5 leo kinauzawa 16m!
 
PCCB wanafanya kazi gani?namna hii mfumuko wa bei tutaudhibiti kweli?
 
safari-ni-safari hujui usemacho kaa kimya.


Yaani kila baada ya mwezi kiwanja kinapanda bei kwa 11mil zaidi?-wewe lazima ulikwepa hesabu shule ya msingi.

Kwa nini usisubiri baada ya mwaka unaweza kukiuza kwa 120mil??!!!!
 
Nji ya wajanjawajanja hii........yaani dalali anakula 1,000,000 irrespective of plot size!....kiwanja kimenunuliwa Agosti 27 kwa milioni 1.5 leo kinauzawa 16m!

hapa ndiyo ujue kuwa elimu ya Tanzania ina mushkeli...kila baada ya mwezi viwanja vyake vinapanda thamani kwa 11ml, piga hesabu baada ya mwaka vitakuwa na thamani gani.

huyu ni mlevi wa mwaka.
 
Hivi ndio viwanja ambavyo hawa wapimaji/maafisa ardhi na maofisa wa Manispaa wanajigawia kwa majina bandia halafu wanaviuza!! Nchi hii sasa haina serikali ni vurugu kila sehemu na kibaya zaidi sasa mapolisi wanatumiwa kuua raia!!!
 
Nji ya wajanjawajanja hii........yaani dalali anakula 1,000,000 irrespective of plot size!....kiwanja kimenunuliwa Agosti 27 kwa milioni 1.5 leo kinauzawa 16m!
Mkuu, huu mtego umenasa mpaka serikali yetu.
Wanakukodisha kiwanja kwa bei ya kuuza...
 
Mkuu, huu mtego umenasa mpaka serikali yetu.
Wanakukodisha kiwanja kwa bei ya kuuza...
Kaka,
Hayo maeneo hayatokaa yawe na maendeleo mapema maana yataendelea kubaki Mapori wakati hawa mafisadi wanasubiri bei zipande!!

Huu ni uhuni ambao tunatakiwa kuupinga kwa nguvu kubwa!!

Kama hawako tayari kujenga now wajinyang'anye. Hii nchi inahitaji mtu mwenye uthubutu wa hali ya juu kuiendesha!!
 
  • Thanks
Reactions: Paw
kwa hali hii squatters the likes of manzese zitazidi kuupamba mji wetu
 
Naomba na bei ya jana, au vya jana vimesha chukuliwa?
 
This is too bad, kama serikali itakaa kimya kwa hili msitegemee kupata viwanja vilivyopimwa kwa njia halali tena. Maana huu utakuwa mradi wa maafisa ardhi. Unapima viwana 870 unajiuzia 400 na vilivyobaki 470 unawazia viongozi wakubwa wa serikali ili wasifuatilie. Unategemea kweli nchi itawalike kwa namna hii...poor Tz
 
This is disgusting!Kwa mtindo huu ndio maana foreigners wanajichukulia maeneo kiulaini sana because they come with big bucks na hyo bei kwao is just a peanut! Mama na Baba Kayaii wa kule Kwa mfuga mbwa hawatahama hata kama kila mvua inaponyesha maji yanapiga hodi hadi chumbani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom