Kiwanja cha serikali

Kiwanja cha serikali

mangi waukweli

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2011
Posts
246
Reaction score
27
Nauza kiwanja kilichopimwaa na serikali kina hati miliki kabisa kipo pugu kinyamwezi walipoamishiwa watu wa kipawa i need that money urgently nauza kwa shi milion 6.5 ni pm nipo serious mwenye kutaka kwa wale wafanyabiashara ni kizuri unaweza kuombea mkopo maaana kina hati kamili ya wizara ya ardhi
 
Biashara ya kibongo kweli hovyo. Mara kiwanja cha serikali mara kina hati. Muhimu ungeweka details zinazoeleweka kama Bei ukubwa na vitu muhimu kama hivyo. Kwa uzembe huu ukikosa wanunuzi unakimbilia kwa kamgambile!
 
Biashara ya kibongo kweli hovyo. Mara kiwanja cha serikali mara kina hati. Muhimu ungeweka details zinazoeleweka kama Bei ukubwa na vitu muhimu kama hivyo. Kwa uzembe huu ukikosa wanunuzi unakimbilia kwa kamgambile!


kiwanja kina HATI, ukubwa LOW DENSITY.bei MILI 6.5


Nauza kiwanja kilichopimwaa na serikali kina hati miliki kabisa kipo pugu kinyamwezi walipoamishiwa watu wa kipawa i need that money urgently nauza kwa shi milion 6.5 ni pm nipo serious mwenye kutaka kwa wale wafanyabiashara ni kizuri unaweza kuombea mkopo maaana kina hati kamili ya wizara ya ardhi
 


kiwanja kina HATI, ukubwa LOW DENSITY.bei MILI 6.5


Nauza kiwanja kilichopimwaa na serikali kina hati miliki kabisa kipo pugu kinyamwezi walipoamishiwa watu wa kipawa i need that money urgently nauza kwa shi milion 6.5 ni pm nipo serious mwenye kutaka kwa wale wafanyabiashara ni kizuri unaweza kuombea mkopo maaana kina hati kamili ya wizara ya ardhi

Hatuendi hivyo mkuu,
Una shida ya haraka ndio, but isikufanye uache details muhimu.

Low density ndio ukubwa gani??
Weka specific measurements kama urefu &upana,
Pia miundombinu, neighborhood, umbali from pugu road, n.k
 
Hatuendi hivyo mkuu,
Una shida ya haraka ndio, but isikufanye uache details muhimu.

Low density ndio ukubwa gani??
Weka specific measurements kama urefu &upana,
Pia miundombinu, neighborhood, umbali from pugu road, n.k

Mkuu Pugu Kinyamwezi ni mbali kidogo hata miundo mbinu yake bado iko chini kama sijakosea lakini kwa bei hiyo low density ukiongea nae mambo yanaweza kuwa siyo mabaya.
 
Mkuu Pugu Kinyamwezi ni mbali kidogo hata miundo mbinu yake bado iko chini kama sijakosea lakini kwa bei hiyo low density ukiongea nae mambo yanaweza kuwa siyo mabaya.
Thanks boss,
Ngoja nimpe 5.3Mil
 
mkuu usimshushe sana,hiyi bei alotaja ni sawa na bure kabisa.kumbuka low density ni eka moja iliyojaa

Ni nani aliyesema low density ni eka moja iliyojaa? Ni mwongo!!! Low densty inaanzia sq 1201 na kuendelea ila haifiki 4800 ambayo ndyo heka!! Na viwanja vingi vya serikali low kwa miaka ya karibuni ni 1201-2400 kama kuna ambaye anapata kikubwa cha makazi zaidi ya hiki basi labda ni makazi na biashara combined!!! Sasa mleta mada cha kwako kina sq metre ngapi?
 
Back
Top Bottom