Darlingtone
JF-Expert Member
- Jan 9, 2011
- 390
- 146
ipo wapi!
kaka ntakupa m5.nije kuchukua hiyo gari
manual ,auto?
Toyota Raum
Year 1999
kMs 150,000
Automatic
Price - 6m
PM if interested
or call 0715525959
View attachment 62188View attachment 62189View attachment 62190
Hahahahaha! Afu wewe bana!
Ngoja nikupigie simu tufanye biashara arifu, vipi buti yake inafunguka?
Whiskey, Vodka, Beer, Cigarettes, Women, Money etc, etc... are a man's worst enemies, and the man who runs away from his enemies is a COWARD.
Hahahaha On serious note with serious non udaku, waweza isukuma hiyo mkoko kwa instalment? Yani kama vire mtu anakutupiamo 4m afu baada ya kama miezi tatu hivi akakumaliziamo kilichosalia. Kuna mzembe hapa naona kama ana mpango wa kuimendea.... Watu kwa kupend miteremko bana! Khaaa!Acha udaku wewe...
Hahahaha On serious note with serious non udaku, waweza isukuma hiyo mkoko kwa instalment? Yani kama vire mtu anakutupiamo 4m afu baada ya kama miezi tatu hivi akakumaliziamo kilichosalia. Kuna mzembe hapa naona kama ana mpango wa kuimendea.... Watu kwa kupend miteremko bana! Khaaa!
Ntakutwangia baadaye, hapa kuna mkoloni ana roho mbaya kama kiatu cha Mugabe...... Mwisho wa kupiga simu saa ngapi? Wengine hatupendi kuvunja ndoa za watu.Huu wa kwako si ndio mtiririko kabisa... Nitwangie tuzoze basi
Ntakutwangia baadaye, hapa kuna mkoloni ana roho mbaya kama kiatu cha Mugabe...... Mwisho wa kupiga simu saa ngapi? Wengine hatupendi kuvunja ndoa za watu.