Wadau wote wa biashara hapa nchini Tanzania, China, Hongkong n.k , naomba mtembelee website(www.g12.hk) yetu kujionea kazi zetu tunazofanya.
Baadhi ya kazi zetu ni:
Kutafuta bidhaa kulingana na...
1 kiwanja kinauzwa kina hati ukubwa wake ni square metre 1710 kipo Tegeta block "B" (MASAITI) bei ml 150
kwa mawasiliano zaidi piga 0714104788 au 0714107215
2 Kiwanja kizuri kipo Tegeta...
hivi ni viwanja vya kupima , unachotokiwa ni kulipa gharama kama inavyoonyesha hiyo vocha na hela yangu ya udalali ni milioni mojo kwa kila kiwanja-0712769766- viwanja hivi vimeshauzwa
Gari yenye sifa zifuatazo inauzwa kwa Tsh7500000 na maongezi yanakubalika
Model:Nisani Lucino
Year: 1997
Milage: 73410KM
Engine size: 1490cc
Ipo katika hali nzuri, niliagiza kutoka japani may...
Wanajamii heshima kwenu!Nimeona vema niwashirikishe, kuna jamaa yangu amebanwa na majukumu ambayo yamemlazimu kuuza kiwanja/shamba lake lenye ukubwa wa heka moja kwa sh mln 3.5 tu,liko kibaha...
JE UNAJUA BIASHARA ITAKAYO FANYA VIZURI MWAKA 2013 NA KUDUMU KWA MUDA WA ZAIDI YA MIAKA 10 HUKU IKIWA IMARA KIUCHUMI?
HIZI NDIZO ZITAKUWA SIFA ZAKE
1. ITAKUWA NI BIASHARA YA HUDUMA (service...
Toyota Corolla Limited,MODEL AE91 ya mwaka 1990,Engine Capacity 1498 cc,Seat cap 5,Body type SALOON(closed top),GROSS WEIGHT 1000,WHITE COLOUR,Odometer 99,800.......Imetumika kwa matumizi binafsi...
Kama kuna mtu anajua dawa ya mende anijulishe tafadhari, nimefanya furmigation lakini wamerudi tena najitahidi sana kuzingatia usafi lakini wanarudi tena wale wadogo wadogo
Natafuta nyumba ya kupanga iwe na vyumba 2 sitting jiko na choo na luku yake pawe panafikika ikipendeza na maji yakawepo itakuwa pouwa namba yangu ni 0786 670 121 inahitajika kufikia tarehe 15...
Sifa zake, kiko tegeta madale kwa mbopo , kimepimwa na kina docoment zote,ukubwa wake ni 70 kwa 45 mahali kilipo ni eneo lililojengwa tayari sio porini na gari inafika bila matatizo,bei yake ni...
Nauza mashine za bakery ambazo nilinunua uingereza zilizotumika.Mashine hizi nilinunua kwa ajili ya kuzifanyia kazi lakini sikufanikiwa kufungua kutokana na sababu zisizo zuilika na matokeo yake...
Shamba lenye ukubwa wa heka 3 katika mkoa wa mwanza maeneo ya usagara mizani linauzwa kwa bei ya tsh mil 11.Shamba lipo karibu na road na gari linafika mpaka shambani.Mawasiliano 0713 377066
Hello wadau.
Anahitajika mbwa aliyekuwa trained vizuri. Nitafurahi kama nitampata na aliyemtrain kwa ajili ya kumzoesha kwangu pindi nikimnunua. Kama unaye, au unajua wanapopatikana, please let...
Wadau,
Nahitaji hawa wataalamu kwa ajili ya msaada wa kupokea na kuniletea vifaa vyangu porti ya Dar.
1. Je, ni gharama kiasi gani kushughulikia zoezi zima?
2. Ni mambo gani yanahitajika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.