Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Ninazo nyumba chakavu katika eneo la kinondoni shamba, mkwajuni na moscow zote zina leseni ya makazi zingine gari inafika zingine gari haifiki. kuna ya kuanzia 7m mpaka 90m. kwa unayetaka kuona na...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
habari zenu waungwana nahitaji machine ya kutengenezea kamba za usumba tafadhali kwa yoyote anayefahamu zinapopatikana anijulishe kwa email asilia_znz@yahoo.com pia anipe na bei zake na detail...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari wakuu, Napatikana dar na natafuta bajaj ya kununua kwa million moja pesa ya mtanzania. Iwe katika hali nzuri na inafanya kazi. Mwenye kuwa nayo tuwasiliane kupitia 0753196849. Ahsanteni.
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Tupo kwenye promotion kubwa katika kutengeneza (Designing) na ku host websites kwa bei rahisi. Pamoja na kukupa bei rahisi mno ya Tsh 9,000 tu kwa mwezi kwa kuhost website ya aina yoyote...
0 Reactions
46 Replies
9K Views
am preparing to sit for CISA exams december 2012, am looking for some one to share knowlegde and is living Arusha please dro only a meseji 0732976493
0 Reactions
0 Replies
845 Views
Sifa zake, kiko tegeta, kimepimwa na kina docoment zote,ukubwa wake ni 70 kwa 45 mahali kilipo ni eneo lililojengwa tayari sio porini na gari inafika bila matatizo,bei yake ni mil 14 maelewano...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wana jf. Nilikua nauliza wapi wanapoweka sticker za gari ambazo zinacover gari zima. Kuna magari yapo yana black color ambayo haing'ai. Au kama ni rangi basi naomba kujuzwa ni wapi huduma...
0 Reactions
0 Replies
894 Views
Shamba lenye ukubwa wa heka 3 linauzwa kwa bei ya maelewano.Shamba lipo mwanza maeneo ya usagara mizani na lipo karibu na barabara.Pia ukitaka ununue nusu ya shamba hakuna tatizo.Shamba lipo...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Naomba yeyote anayefahamu sehemu zinapouzwa ipad tablets original anielekeze ama anipe link ya hilo Duka.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mahali/Location: Kitopeni, Bagamoyo. Mita 800 kutoka barabara ya lami itokayo Dar (kilomita moja kuingia mjini Bagamoyo na kilomita 5 kutoka Kiromo View Resort kuelekea Bagamoyo - planned...
3 Reactions
27 Replies
7K Views
KIWANJA KINAUZWA,BAHARI BEACH MITA 300 TOKA BAHARINI. KINA UKUBWA WA 5354sqm, BEI NI MILLION 800(NEGOTIABLE). KINA HATI NA NYARAKA ZOTE MUHIMU. KWA MAWASILIANO ZAIDI - 0715852295
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nauza kiwanja changu. Wapi?Kimara Mavurunza. Kilometa mbili kutoka Kimara mwisho. Ukubwa? mita 28 kwa 26 Bei? milioni 15 Sifa zingine? . Umeme upo . Barabara ipo mpaka kiwanjani . Ni sehemu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
habari,router ya zyxel inauzwa bei nafuu 85 000 tu,ina port mbili za ethernet na unaweza kukonect na intanet kwa modem au waya kutoka kwa isp,ina vifaa vyote+user manual,imetumika kidogo.nzuri kwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
sitaki kulaumiwa na mdada,pendeza kwa nafsi yako,BEI ZETU NI NAFUU SANA kwa mawasiliano zaidi director@ihamsolar.com...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Shule hii ina ukubwa wa eneo la heka 15. imesajiriwa na ina vibali vyote muhimu ipo kisarawe mkoani Pwani . kushoto inapakana na kanisa la kirutheri(mission) na kulia inapakana na chuo cha...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kuna jamaa anatafuta hiyo gari kwa sh mill 16 kama unayo nitafute 0713532322 nikuunganishe nae. Hela ipo Haina longo longo
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Any one selling samsung galaxy s1 advance brand new call me 0784622444
0 Reactions
0 Replies
776 Views
Ndugu wana JF, nyumba inapangishwa maeneo ya survei, ina vyumba viwili sehemu ya jiko , self contained pamoja na sebule, gari linafika mpka barazani kwako. hakuna dalali ukinipata mie...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
I need the two phone as mentioned above. They should also not be with scratches and I would prefer if I shall get with all fundamental accessories. Price should come from the trader. My #...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
inapatikana moshi Hali ni nzuri kwa 580000 Haina scratch , nyeusi,charge unapata na screen protector
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom