Natafuta mwalimu wa o level (tuition) kwa binti yangu

Natafuta mwalimu wa o level (tuition) kwa binti yangu

Mbwambo

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2008
Posts
625
Reaction score
95
Ninatafuta mwalimu hasa mwenye uwezo wa kumfuata nyumbani kwangu Kumfundisha masomo ya O level binti yangu awe mzoefu tafadhali
Awasiliane nami kwa email: ak_abduel@yahoo.com
karibuni ila mtu lazima anionyeshe vyeti vyake
Nitamlipa vizuri tu
asante
 
masomo mangap?:, hakuna mwalimu wamasomo yote... Masomo obvious huwa mawili plus civics... Au moja plus civics...''specify mwl wa masomo gani science,biashara au arts...
Je UNATAKA MWALIMU MWENYE BACHELOR AU DIPLOMA!?....
 
Ninatafuta mwalimu hasa mwenye uwezo wa kumfuata nyumbani kwangu Kumfundisha masomo ya O level binti yangu awe mzoefu tafadhali
Awasiliane nami kwa email: ak_abduel@yahoo.com
karibuni ila mtu lazima anionyeshe vyeti vyake
Nitamlipa vizuri tu
asante

mwalimu wa kike au wa kiume?
Utamlipa sh.ngapi?
Kuanzia saa ngapi?kwa muda gani.
Unakaa wapi?

Jibu kwanza hayo maswali mkuu
 
masomo mangap?:, hakuna mwalimu wamasomo yote... Masomo obvious huwa mawili plus civics... Au moja plus civics...''specify mwl wa masomo gani science,biashara au arts...
Je UNATAKA MWALIMU MWENYE BACHELOR AU DIPLOMA!?....

Labda nitakuwa sikuezea vizuri kwamba binti yangu yuko Form 1, anaingia Form two sasa masomo ya shule ya O Level yake ni Kama Hesabu, English, Kiswahili na pia Boo keeping na Commerce.
Kweli ningalipenda masomo ya Heabu na English naona ndiyo hasa anashida. Anasoma KIbasila Secondary
wEWE NDIO UNIAMBIE KWAMBA KWA LEVEL KAMA HIYO ATAHITAJI MWALIMU WA DEGREE KWELI? NADHANI NI DIPLOMA
Asante sana na karibu
 
masomo mangap?:, hakuna mwalimu wamasomo yote... Masomo obvious huwa mawili plus civics... Au moja plus civics...''specify mwl wa masomo gani science,biashara au arts...
Je UNATAKA MWALIMU MWENYE BACHELOR AU DIPLOMA!?....

Labda nitakuwa sikuezea vizuri kwamba binti yangu yuko Form 1, anaingia Form two sasa masomo ya shule ya O Level yake ni Kama Hesabu, English, Kiswahili na pia Book keeping na Commerce. so ni Arts
Kweli ningalipenda masomo ya Heabu na English naona ndiyo hasa anashida. Anasoma KIbasila Secondary
WEWE NDIO UNIAMBIE KWAMBA KWA LEVEL KAMA HIYO ATAHITAJI MWALIMU WA DEGREE KWELI? NADHANI NI DIPLOMA
Asante sana na karibu
 
mwalimu wa kike au wa kiume?
Utamlipa sh.ngapi?
Kuanzia saa ngapi?kwa muda gani.
Unakaa wapi?

Jibu kwanza hayo maswali mkuu

siwezi kujibu hapa na kwa vile niliisha toa email yangu nadhani ni vyema issue ya kiwango gani isiongelewe hapa
ningalipenda mwalimu awe mwanamke lakini si lazima
asante
 
nakushauri hili tangazo lipeleke kule Jukwaa la Kazi na Tenda,kuna siku niliona post ya dada moja graduate B.A.ed anahitaji nafasi ya kufundisha kwa muda,nadhani utafanikiwa.
 
Labda nitakuwa sikuezea vizuri kwamba binti yangu yuko Form 1, anaingia Form two sasa masomo ya shule ya O Level yake ni Kama Hesabu, English, Kiswahili na pia Book keeping na Commerce. so ni Arts
Kweli ningalipenda masomo ya Heabu na English naona ndiyo hasa anashida. Anasoma KIbasila Secondary
WEWE NDIO UNIAMBIE KWAMBA KWA LEVEL KAMA HIYO ATAHITAJI MWALIMU WA DEGREE KWELI? NADHANI NI DIPLOMA
Asante sana na karibu
mimi naweza kumfundisha yote isipokuwa kiswahili if u a ready ni pm
 
Uwe makini vinginevyo utakuwa unatafuta wakwe na kuwaleta nyumbani kwa binti yako.
 
I wish I was a teacher. Duh, sasa mkuu kwa wenye kukumbuka masomo ya O levo unawakaribisha? Mimi kwa Hesabu usipime mkubwa wangu!! So can I be of a help to u u think?
 
nakushauri hili tangazo lipeleke kule Jukwaa la Kazi na Tenda,kuna siku niliona post ya dada moja graduate B.A.ed anahitaji nafasi ya kufundisha kwa muda,nadhani utafanikiwa.

Asante sana kaka
 
I wish I was a teacher. Duh, sasa mkuu kwa wenye kukumbuka masomo ya O levo unawakaribisha? Mimi kwa Hesabu usipime mkubwa wangu!! So can I be of a help to u u think?

Yaani ninahitaji wa hesabu na English hasa kwa hiyo kama unahitaji nafasi hii naomba tuwasiliane kwa private message au email yangu niliyoitoa
karibu
 
Back
Top Bottom