machine ya kpondea chakula cha wanyama C Approved
3 kiloweter
50hz
220 volts
energy saving
100-150 kilo per hour
bei 2 million
nione kwa namba hii 0718656566
pia incubator zipo kuanzia maya i 89-...
Hivi majuzi nimeona makala NTV inayohusu ufugaji wa samaki katika greenhouse. Nadhani ni biashara nzuri kuwekeza. Zaidi google " u tube women and power fish farming in kiambu" . Pia tazama...
Khabari wanajamii! kuna nyumba mbili zilizo eneo moja zinauzwa nyumba zina vyumba 5 kila moja, sebule na kolido. maji na umeme vipo nyumba zipo kwenye eneo lenye ukubwa wa nusu heka, zipo tegeta...
Wapendwa
Nahitaji Playstation 2 original (mtungi) kama nne hivi lakini ziwe multi system za biasahara kuna mahali ni bonge la biashara kama kuna mtu anazo au anajua ziliko ani PM au tuwasiliane...
Wana JF nauza Acer travel mate 2490, yenye H:D 60GB, INTEL CELERON 1.8GHz/1866MHz,1GB Ram,ipo Morogoro,bei ni 280,000,ni used one na inahitaji a new battery,maana iliyopo ina last kwa 15 mins only...
DO YOU FEEL TIRED AND STRAINED
HERE ARE GOOD NEWS FOR YOU!
Specialized massage to women ,I offer best massage services for ladies within Dar.
My services include general body relaxation,stress...
Kimoja kipo chanika wilaya ya ilala kimepimwa na kina hati kina sqm 726 kinauzwa 8.5 m . eneo hili ni nzuri lina nyumba nyingi za nzuri zimejengwa , gari linafika mpaka eneo la kiwanja .
Kiwanja...
TOYOTA HARRIER LEXUS, black (95,200 KM mileage) na RAV4 L, pearly white (92,100 KM mileage)...for sale! Both in good condition, they are at Mwanza. contact 0715/767- 483 570
Wakuu natafuta fundi wa laptop aina ya IBM inasumbua display.Anae fahamu fundi mzuri kwa Dar naombeni msaada wapi naweza mpata fundi.Natanguliza shukrani zangu za dhati.
Kitabu cha lazima kwa Walimu, Watunga sera , Waandishi wa vitabu, Wahariri na Wanaithibati.
Lipi ni jina sahihi la chombo kinachosimamia maendeleo katika kata? Je, ni KAMATI YA MAENDELEO YA...
laki tano (non negotiable) needed quick!! for a hp g6 pavilion
ina
Processor AMD Athlon(tm) II P360 Dual-Core Processor (2.30ghz)
Installed Memory (RAM) 3 GB
Video...
Yeyote anayefikiria kuuza LAPTOP yake kwa gharama ya Tshs. 300,000/- tafadhali tuwasiliane. Mi nipo Eckernfode Tanga University. Phone. 0754004189 au 0783757008.
nani anaweza kuni saidiya kutafuta fremu (duka) ya ku pangishwa.
Hapo maeneyo ya old bagamoyo road, mpeka kawe.
Au maeneo ya mwenge karibu shamo park.
Nipigia- 0784 76 87 86.
nani anaweza kuni saidiya kutafuta fremu (duka) ya ku pangishwa.
Hapo maeneyo ya old bagamoyo road, mpeka kawe.
Au maeneo ya mwenge karibu shamo park.
Nipigia- 0784 76 87 86.
Guys nauza mid tablet yenye ram 256mb,2gb space, camera, wifi network capabilitie na gps but haingizi line ya simu bei yake ni laki moja tu kwa anayeitaka ani pm
Nauza cctv Camera pamoja na screen ndogo kama sikosei ni 7 inch.Ni nzuri kwa matumizi ya biashara kama duka kwa ajili ya kuweka usalama kwa vibaka.Lakini hairikodi matukio ila utakuwa na uwezo wa...