Kwanza kabisa napenda kuwashukuru wana JF kwa ushirikiano mlionipa mpaka nikafanikisha kupata Laptop kwa tangazo la kwanza. Kwa mara nyingine natafuta tena nyingine iliyotumika kwa bei ya...
Hello..!
Kwa anayehitaji PlayStation 2 - Games Decks kwa ajili ya biashara ya kuchezesha games au kwa matumizi ya nyumbani zinapatikana kwa bei nafuu. Zimetumika kidogo so bei yake ni cheap...
Matrekta 5 aina ya Valmet,manne yakiwa ni model 2600 yaliyotumika yanahitaji matengenezo yanauzwa kama LOT yakiwa na vifaa vyake kama majembe,harrow,sprayers etc
Yanapatikana Sinza Mori nyuma ya...
DLP INFOCUS X1, Kama kichwa cha habari kinavyojieleza ni projector ambayo bado iko safi bulb life bado,kiujumla ni nzuri kwa bei nafuu na hitaji hela ya haraka kama unahitaji ni PM. BEI NI Tsh...
Ina hali nzuri sana na ipo barabarani
Tangu inunuliwe imekaa barabarani kwa mwaka mmoja, imesajiriwa kwa namba T293 BEK
inauzwa Tsh . 52,000,000/=
Kwa anayetaka kuona ipo kinondoni kwa manyanya...
Habari wana JF.
Mimi ni dalali (broker) and agent wa used cars na magari ya show room. Kama unaitaji gari la aina yoyote whether ni used or ambalo lipo show room tutakusaidia kupata katika...
Up For SALE in an OPEN BOX DELL STREAK 7 wifi+3g (factory unlocked)
The Item is already rooted and Alot of apps like viber and whatsapp installed and other apps (SKYPE VIDEOS ENABLED) and...
Viko 7km kutoka kimara mwisho size
mita 20*20 3mil, 20*25 3.5mil, 20*40 6mil
na 25*40 7mil.
(vyote viko tambarare na vinafikika
kwa gari,umeme uko jirani.)
piga 0715055577/0769055577
WanaJF,Mimi nina gari semitraller mpya natafuta mzigo wa kusafirisha kwenda mikoa kama mwanza,kigoma,sumbawanga na sehemu zingine za nchi yetu ya Tanzania,tela ni flatbed napakia mwishi ton...
Anatafutwa mtu mwenye uwezo wa kutengeneza muziki kwa kutumia program za Computer ili nimuunganishe nma mtu ambae ni mtaalamu kias lakini ana vifaa ambavyo vitawawezesha kufungua studio ndogo kwa...
naomba kama kuna mtu anamfahamu mwanadada anayeitwa farida au kama mwenyewe ni mwanachama humu anipm tafadhali ni muhimu sana.Anafanya biashara kati ya China na Bangkok kama sikosei ni biashara ya...