Quality products for best price
Blackberry mpya 9900 kwa 700,000
Blackberry 9700 kwa 320,000
iphone 4s ya 16gb kwa 850,000
iphone 4ya 16gb kwa 650,000
Samsung Galaxy S3 kwa 900,000
kama...
Jamani naomba mnijuze wapi naweza pata madirisha ya alminium kwa bei nafuu
Madirisha yapo kumi na tatu yana ukubwa wa 5 kwa 6 feet, na 2 kwa3 yapo manne
Wadau mtaji wa maskini ni nguvu zake mwenye nauza nyumba yangu ambayo iko kwenye stage ya kupauliwa ukubwa wa kiwanja ni 20X34 iko juu mlimani kidogo bei inaanzia 24.5mil
unaweza nipigia 0754432409
Kiwanja kikubwa chenye ukubwa wa sqm 656 kipo buyuni, kimepimwa na kina hati ya miaka 99, pia ada zake zote zimelipiwa. Kimezungukwa na nyumba mpya za shirika la PSPF. Ni kizuri sana kipo jirani...
Residential room wanted(furnished or unfurnished)
vigezo vyangu
umeme wa LUKU
pawe karibu na mjini
maji ya uhakika
Rent will always be paid on time.
kuhusu mimi
friendly
ni mfanyakazi
single...
Kama unahitaji display za laptop size zote(10.1," 14.0", 14.1", 15.6" etc) na aina zote (LCD,Ultraslim na LED) Adapter za laptop aina zote na betri zake na spea nyingine za laptop, Nitafute kwa...
Nimetumwa kutangazia mtu nyumba yake ipo KINYEREZI
Vipimo ni Urefu wa Meter 21
Na upana Meter 11
Bei ni TShs. 15 Milion
Nyumba ina vyumba viwili vya kulala, baraza au sitting room na choo kimoja...
Tangaza Marketing Solutions(TMS):
Ni Kampuni inayojihusisha na Advertising,Marketing & Promotions:
Lengo kuu ni kuwasaidia Wajasiriamali na Wafanyabiashara kujua Wateja wao na Wateja kujua huduma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.