Habari zenu wakuu,
Mimi nafanya biashara ya vifaa vya ujenzi na nina kampuni ya usambazaji ya bidhaa mbali mbali. Nilikua natafuta watu wa kunisaidia kutafuta soko za rangi za kupaka kwenye...
Hi wana JF wote,
Natafuta wanunuzi kuni za jumla.
Nina mashamba mapya nayasafisha, hivyo kuna miti mingi sana kwa ajili ya kuni.
Eneo zinapopatikana kuni hizo ni mkoa wa Pwani, umbali wa...
Naomba kwa anayejua gharama za bandarini (port charges) kwa gari lilioagizwa toka Japan! na pia ni muda gani gari likikaa bandarini bilakuchukuliwa linaanza kuchajiwa storage charges na hizi...
Wakuu nina vocha za sqm 400, na 500 kwa ajiri ya njoo nikuunganishe ukalipie upate kiwanja cha . sehemu ni gezaulole kigamboni bei ni 3.5m . ukiisha lipia utaambiwa kiko sehemu gani na block gani...
Tangaza Marketing Solutions(TMS):
Ni Kampuni inayojihusisha na Advertising,Marketing & Promotions:
Lengo kuu ni kuwasaidia Wajasiriamali na Wafanyabiashara kujua Wateja wao na Wateja kujua huduma...
Tahadhari kwa Wanaouziwa Viwanja Ufukweni Eneo la Kimbiji Eneo la Ufukwe *IMETOLEWA*
tahadhari kwa wale wanaotangaziwa kuuziwa Viwanja vya Ufukweni eneo la Kimbiji. Wanunuzi...
Khabari wanajamii! nina kiwanja changu nakiuza kiwanja kipo maeneo ya tegeta wazo mtaa wa umoja road, kiwanja kina ukubwa wa mita 35 kwa 40 bei yake ni ml 13 miundo mbinu ya umeme, maji, barabara...
Samsumg ch@t 322 niliyoinunu mwez huu naiuza laki na 35. Ina qwerty keypad au unaweza kuigoogle ukaiona picha zake vizur. Sababu ya kuuza ni kutokana na matatizo. Kwa aliyetayari ani-pm nimtumie...
​Nyumba inauzwa ipo Magomeni kanisani. Nyuma ya kanisa mtaa wa Luponda. Nyumba ina eneo zuri kwa biashara ya hotel, nyumba ya wageni (Guest) Makazi binafsi au kupangisha.
Price: TSH...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.