Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Kama unataka Samsung Galax Bei poa tsh 600,000 mpaka 550,000 nicheck kwny no_ hii plizzz... 0714-074040 Wahi kabla hazijaisha zimebaki chache.
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu, Mimi nafanya biashara ya vifaa vya ujenzi na nina kampuni ya usambazaji ya bidhaa mbali mbali. Nilikua natafuta watu wa kunisaidia kutafuta soko za rangi za kupaka kwenye...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Hi wana JF wote, Natafuta wanunuzi kuni za jumla. Nina mashamba mapya nayasafisha, hivyo kuna miti mingi sana kwa ajili ya kuni. Eneo zinapopatikana kuni hizo ni mkoa wa Pwani, umbali wa...
1 Reactions
2 Replies
961 Views
Naomba kwa anayejua gharama za bandarini (port charges) kwa gari lilioagizwa toka Japan! na pia ni muda gani gari likikaa bandarini bilakuchukuliwa linaanza kuchajiwa storage charges na hizi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nina uwezo wa kusupply kilo 3 hadi 5 ningependa kujua tola moja unaichukulia kwa shilingi ngapi?uni pm ili tuweze kufanya biashara
0 Reactions
5 Replies
3K Views
  • Closed
Iko full na accesories zake ni original cyo fake one. Ni mpya haijatumika kabisa. Kama unahitaji namba hii 0713522353. Jiamini usiogope bei!!
0 Reactions
2 Replies
1K Views
IPO KATIKA HALI NZURI IMETUMIKA KIDOGO BEI POA TU nasznjoka@gmail.com DSM
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu wapi hapa dar naweza pata adapter ya lenovopc msaada plz!
0 Reactions
0 Replies
690 Views
Wakuu nina vocha za sqm 400, na 500 kwa ajiri ya njoo nikuunganishe ukalipie upate kiwanja cha . sehemu ni gezaulole kigamboni bei ni 3.5m . ukiisha lipia utaambiwa kiko sehemu gani na block gani...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Tangaza Marketing Solutions(TMS): Ni Kampuni inayojihusisha na Advertising,Marketing & Promotions: Lengo kuu ni kuwasaidia Wajasiriamali na Wafanyabiashara kujua Wateja wao na Wateja kujua huduma...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Tahadhari kwa Wanaouziwa Viwanja Ufukweni Eneo la Kimbiji Eneo la Ufukwe *IMETOLEWA* tahadhari kwa wale wanaotangaziwa kuuziwa Viwanja vya Ufukweni eneo la Kimbiji. Wanunuzi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wadau...kwa mwenye uwezo/nafasi ya kuweza nisaidia nikapata hii gari Toyota Starlet ilyo katika hali nzuriii nitashukuru sana wadau.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nyumba ipo veterinary mtaa wa sandali mwanzoni ipo barabarani bei maelewano.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Khabari wanajamii! nina kiwanja changu nakiuza kiwanja kipo maeneo ya tegeta wazo mtaa wa umoja road, kiwanja kina ukubwa wa mita 35 kwa 40 bei yake ni ml 13 miundo mbinu ya umeme, maji, barabara...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Nauza simu tajwa 260000, inakuja na charger na casing cover Specs: GENERAL 2G Network GSM 850 / 900 / 1800 / 1900 3G Network HSDPA 850 / 1900 / 2100 HSDPA 900 / 1700 / 2100 BODY Dimensions 109 x...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
nina samsung RV 510 *RAM 1GB *HDD 80GB *PROCESSOR Dual core 2.1 GHz *CAMERA *DVD RW *SCREEN 15.6 inches *Dar es salaam ndipo mahala ilipo Inaenda kwa Laki tatu na nusu (350,000/=). Kama...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nahitaji marine board za kujengea, mm12 kama mpya au mm15/18 kama used, nahitaji 40Pcs, mwenye nazo naomba aniPM anipe na bei tafadhali.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Samsumg ch@t 322 niliyoinunu mwez huu naiuza laki na 35. Ina qwerty keypad au unaweza kuigoogle ukaiona picha zake vizur. Sababu ya kuuza ni kutokana na matatizo. Kwa aliyetayari ani-pm nimtumie...
0 Reactions
0 Replies
934 Views
Kiwe na maji ,umeme , sakafu nzuri bei kuanzia sh.0>>>>>tsh 80,000/=
0 Reactions
3 Replies
1K Views
​Nyumba inauzwa ipo Magomeni kanisani. Nyuma ya kanisa mtaa wa Luponda. Nyumba ina eneo zuri kwa biashara ya hotel, nyumba ya wageni (Guest) Makazi binafsi au kupangisha. Price: TSH...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Back
Top Bottom