Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Anaye hitaji nyumba ya kupanga njiro gorofa mbili Arusha ina Gym,garden nzuri ina rum 4 zakulala
0 Reactions
1 Replies
993 Views
Habari wakuu wa jamvi. Naitaji Bodaboda aina ya SUNLG CC 150 kwa hapo Dar duka gani lina bei nafuu.
0 Reactions
0 Replies
778 Views
Habari za muda huu wanajamvi. Mimi nina shida naombeni msaada. Kama kuna mtu yeyote mwenye access ya upatikanaji au anayo mabanda ya kukodi kwa ajili ya ufugaji wa kuku naomba anifahamishe...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
KAMI DIGITAL TECHNOLOGY Tunafanya kazi za Video Shooting&Production,Photo,Live video on projectors kwenye sherehe mbalimbali. Bongo Movie production Gospel songs video Album(Kwaya na waimbaji...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
niaje waungwana? Natafuta web designer ambae yuko fit coz nategemea kufungua website. Km upo dodoma na uko tayar,hollaa through 0752385949,0759362254 and lets mek a serious biz!! Very urgent......
0 Reactions
1 Replies
986 Views
Kwa anaefahamu jinsi nitakavyoweza kupata machine ya kukata na kusaga nyama, maeneo zinapouzwa na bei zake kwa used and new one.Nawakilisha
0 Reactions
1 Replies
2K Views
KAMI DIGITAL TECHNOLOGY Tunafanya kazi za Video Shooting&Production,Photo,Live video on projectors kwenye sherehe mbalimbali. Bongo Movie production Gospel songs video Album(Kwaya na waimbaji...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Shamba lipo Vikuruti Mlandizi, Bagamoyo road, hekari 15, bei 35ml, wasiliana kwa simu, 0717000990/0764434673 au majutongozi@gmail.com
0 Reactions
0 Replies
790 Views
Nauza LCD flat screen Tv Aina ni ya TCL inch 24 Zina mezi 2 tangia nimezinunua. Mawasiliano: 0714-074040 0767-074040 0785-074040
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nauza CANON 40D ambayo ni professional photo CAMERA na bei zake ziko juu lakini mimi naiuza kwa laki nane (700,000/=) tu kwa sababu nimenunua 60D CANON. Pia nauza ALL IN ONE Panasonic Photocopier...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kwa wale wadau mnaohitaji huduma ya tiba , ushauri na upatikanaji wa mifugo mbalimbali tuwasiliane kwa no 0714134004
0 Reactions
0 Replies
865 Views
Natafuta fundi mzoefu wa kujenga swimming pool. Mwana jamiiforum yeyote anayefahamu fundi mzuri naomba contacts.
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Nina shilingi 5 M, Mwenye nayo anipm au anicheki kwa simu 0755923374 au frehape@gmail.com. nitumie picha ya gari kwenye imeili hiyo
0 Reactions
1 Replies
1K Views
I have few 230 Watts Poly Solar Panels for sale at a very reasonable price of 1,200,000/= Tshs each OVNO. You only need a battery, Charge Controller, Inverter and wiring to forget about Tanesco...
0 Reactions
8 Replies
8K Views
Wapendwa nimeanza biashara hii mwezi july, 2012. Sijakutana na shida kama hii jana mtu amekuja akitaka awekewe 450,000/= kwenye account yake akampatia mwanangu laki nne na nusu feki, na tumegundua...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
wadau kwa anayehitaji nauza kiwanja 20 X 20. kipo Mabwepande sifa zake jirani na barabara umeme nguzo moja tuu haijapimwa ila hakuna tatizo bei ni shilingi milioni tatu (3000,000) hakuna dalali...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
-Imejengwa katika kiwanja # TB/TK/89 -Iko umbali wa kilomita moja kutoka Mwananchi MCL au SDV-AMMI pia kupitia Tabata Mawenzi, kituo cha Savanna, umbali ni huo huo wa Kilomita moja -Ni nyumba...
0 Reactions
16 Replies
5K Views
Wandugu mwenye taarifa positive za vyumba vya kupanga, iwe ni self ama kawaida, pamoja na bei zake, maeneo ya magomeni ama sinza tafadhari tuwasiliane haraka.
0 Reactions
9 Replies
6K Views
Panasonic LUMIX DMC-TZ20/DMC-ZS10 14.1 MP Digital Camera - BlackNauza Camera ya Panasonic DMC-TZ20E ambayo imetumika lakini ipo katika hali nzuri.Imetumika uingereza lakini imeshafika Dar es...
0 Reactions
0 Replies
945 Views
NYUMBA INA SIFA ZIFUATAZO Kiwanja kimepimwa sqm 1092 kina offer Vyumba 4 vya kulala 1 master Juu gypsum chini cement ya kawaida ina store, jiko , sehemu ya kula chakula. imezungushiwa ukuta...
2 Reactions
40 Replies
5K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…