Habari za muda huu wanajamvi.
Mimi nina shida naombeni msaada. Kama kuna mtu yeyote mwenye access ya upatikanaji au anayo mabanda ya kukodi kwa ajili ya ufugaji wa kuku naomba anifahamishe...
KAMI DIGITAL TECHNOLOGY Tunafanya kazi za Video Shooting&Production,Photo,Live video on projectors kwenye sherehe mbalimbali.
Bongo Movie production
Gospel songs video Album(Kwaya na waimbaji...
niaje waungwana?
Natafuta web designer ambae yuko fit coz nategemea kufungua website.
Km upo dodoma na uko tayar,hollaa through 0752385949,0759362254 and lets mek a serious biz!!
Very urgent......
KAMI DIGITAL TECHNOLOGY Tunafanya kazi za Video Shooting&Production,Photo,Live video on projectors kwenye sherehe mbalimbali.
Bongo Movie production
Gospel songs video Album(Kwaya na waimbaji...
Nauza CANON 40D ambayo ni professional photo CAMERA na bei zake ziko juu lakini mimi naiuza kwa laki nane (700,000/=) tu kwa sababu nimenunua 60D CANON.
Pia nauza ALL IN ONE Panasonic Photocopier...
I have few 230 Watts Poly Solar Panels for sale at a very reasonable price of 1,200,000/= Tshs each OVNO.
You only need a battery, Charge Controller, Inverter and wiring to forget about Tanesco...
Wapendwa nimeanza biashara hii mwezi july, 2012. Sijakutana na shida kama hii
jana mtu amekuja akitaka awekewe 450,000/= kwenye account yake akampatia mwanangu laki nne na nusu feki, na tumegundua...
wadau kwa anayehitaji nauza kiwanja 20 X 20. kipo Mabwepande
sifa zake
jirani na barabara
umeme nguzo moja tuu
haijapimwa ila hakuna tatizo
bei ni shilingi milioni tatu (3000,000) hakuna dalali...
-Imejengwa katika kiwanja # TB/TK/89
-Iko umbali wa kilomita moja kutoka Mwananchi MCL au SDV-AMMI pia kupitia Tabata Mawenzi, kituo cha Savanna, umbali ni huo huo wa Kilomita moja
-Ni nyumba...
Wandugu mwenye taarifa positive za vyumba vya kupanga, iwe ni self ama kawaida, pamoja na bei zake, maeneo ya magomeni ama sinza tafadhari tuwasiliane haraka.
Panasonic LUMIX DMC-TZ20/DMC-ZS10 14.1 MP Digital Camera - BlackNauza Camera ya Panasonic DMC-TZ20E ambayo imetumika lakini ipo katika hali nzuri.Imetumika uingereza lakini imeshafika Dar es...
NYUMBA INA SIFA ZIFUATAZO
Kiwanja kimepimwa sqm 1092 kina offer
Vyumba 4 vya kulala 1 master
Juu gypsum
chini cement ya kawaida
ina store, jiko , sehemu ya kula chakula.
imezungushiwa ukuta...