Namtafuta EMANUEL MWAIPALE

Namtafuta EMANUEL MWAIPALE

Kyenju

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2012
Posts
5,232
Reaction score
2,729
Anaitwa EMANUEL MWAIPALE mweyeji wa mkoa wa mbeya, wilaya ya Kyela. kitu ambacho sifahamu ni kata na kijiji anachotoka mwaka juzi alihama kutoka Mbeya mjini maeneo ya Mwanjelwa na ambako alikuwa Mchungaji kuhamia kijijini kwao. Kwa yoyote mwenye details zake naomba anisaidie.
 
Unaweza usipate response nzuri kwa sababu ya kuweka kwenye jukwa lisilostahiki!
nadhani ungeweka jukwaa la matangazo ingefaa zaidi!
 
Jaribu kumtafuta Facebook unaweza kumpata...
 
Unamdai nini.Waulize watu wa takwimu kama watakuwa wamemhesabu kijijini au mjini
 
Ndiyo namdai ila sidhani kama watu wa takwimu watanisaidia.
 
Hivi bango hakuna hii huduma ya kutafutana. Pole ndugu, kama unamdai na wewehujakaa na deni la mtu, muombee kwa Mungu asipate raha hadi alipe deni lako.
 
Nenda cloudfm au radio One watakusaidia vizur zaidi..
 
yupo anapatikana yupo kwenye hali nzuri ni PM bei tuongee biashara.....au niweke spects zake?

 
Back
Top Bottom