Home security cameras bei chee kabisaa!

Home security cameras bei chee kabisaa!

Auto

Member
Joined
Nov 7, 2012
Posts
51
Reaction score
10
kwa biashara ,nyumbani ofisi nk. security cameras za bei ché ,kuzuia wezi kuangalia nini kinaendelea wakati haupo ,kamera za nje na ndani ,getini nk!
unaweza kutumia na laptop/computer yako au kuangalia kwa screen
kamera za nje 250,000
kamera za ndani 300,000
 
Yani ni ful kumulika wezi ! wale waliokua na mashaka na ma beibe wao bac fasta wahi apa!
 
Camera ya nje ina uwezo gani wa kumuona mtu hakiwa mita 50 au mita 10.
 
Camera ya nje ina uwezo gani wa kumuona mtu hakiwa mita 50 au mita 10.

Cam ya nje iko na uwezo wa kuona mita 70 na pia iko na infrared kwa ajili ya usiku
 
nje utabaki kudeku wapita njia
ya ndani ndio poa, mke akionja paja la kuku tu, unaye.

Ya nje unaweza kukusave pia broda unaeka getini ili yf akitokea 2 unamuonyesha kimada pa kujificha fasta!
 
Mleta hoja hebu weka hii habari vizuri. Unapozungumzia bei ya camera kuwa Tshs. 250,000 kwa nje na Tshs. 300,000 kwa ndani una maana kila camera ni Tshs. hizo ulizoonyesha? Kwa ufahamu wangu mdogo camera moja haiwezi kufanya kazi ya kukamata matukio nyumba nzima kwa nje. Kama hiyo ni be ya camera moja ina maana mtu akihitaji camera nne (kila kona ya nyumba iwe na Camera moja) ina maana itamgharimu millioni moja na hapo bado kuweka ya ndani.

Sidhani kama bei hiyo ni rahisi kama unavyotaka tuamini!!!!

Tiba
 
Hizo cameras zako angle zake ni degree ngapi,unazo zile za getini mtu akipiga kengele naweza kuongea naye ndani halafu nikamuona?,kama unayo nipe bei na screen yake ni size gani,pamoja na brand yake.
 
Akhaaa kisa cha kuja kumuangalia mume akipiga nyeto haihusuuu....labda ya nje😀
 
Hizi kamera tunazihitaji sana CHADEMA ili zifungwe kwenye vyumba vya kupigia kura ili tuone ccm wataibaje kura zetu.
maana imekuwa kila siku tanalalamika kuibiwa kura bila kutatua tatizo.
Hili likifanikiwa ccm kwishney maana itapata kura za aibu.
Ritz na magamba wanzake watakuwa wamekalia kuti kavu.
 
don't try this at home
Yeah....

Hii inapaswa uiweke kwenye gesht haush kama unaimiliki ili kudhibiti mapato yasiyo halali kwa wahudumu wanaohusudu short time.

Anapokukabidhi mahesabu we unakuwa ushapitia video ya watu woooote walioingia. Hakuna kuzenguana!!
 
Back
Top Bottom