TOYOTA MARK II GX 110 for 10.5 Mil

TOYOTA MARK II GX 110 for 10.5 Mil

Kiherehere

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2010
Posts
1,806
Reaction score
622
call 076839012
 

Attachments

  • Photo0218.jpg
    Photo0218.jpg
    29.9 KB · Views: 204
  • Photo0217.jpg
    Photo0217.jpg
    33.3 KB · Views: 196
  • Photo0216.jpg
    Photo0216.jpg
    32.7 KB · Views: 158
anyway gud luck....wese now zaidi ya 2000 per galon
 
anyway gud luck....wese now zaidi ya 2000 per galon

Mkuu hizi gari kama unaendesha vizuri na service nzuri haili mafuta sana, lakini kama wewe ni wa kukanyaga tu matengenezo kwa mbinde utaiona hiyo ya 2000 per gallon
 
anyway gud luck....wese now zaidi ya 2000 per galon
utaishi maisha haya ya kuogopa kila ki2 mpaka lini?? Wewe ndo huna hiyo 2000, wenzio wanazo...kama haujavutiwa sio lazima uchangie uzi huu!!!!!!!!
 
utaishi maisha haya ya kuogopa kila ki2 mpaka lini?? Wewe ndo huna hiyo 2000, wenzio wanazo...kama haujavutiwa sio lazima uchangie uzi huu!!!!!!!!
una kaa nya gwa nini? ina maana hukuelewa nimeandika nini?
 
Kwani ikiwa ukiikuta kwenye yard unaipata kwa shiling ngapi wandugu
 
Nna Tshz.8Mil.cash. Najua haikulipi ila ndo niliyonayo 0658445629
 
Nina Tsh. Milioni 8 mkuu, kama ok ni pm tumalize biashara fasta.
 
Vp je ina tatizo lolote ilishapa ajali yoyote ya kuitaji kunyooshwa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom