Natafuta nyumba ya kupanga maeneo yafuatayo:
Banana, Majumba sita, Karakata.
Sifa za hiyo nyumba;
1. Nyumba iwe inafikika kwa gari.
2. Isiwe na LUKU ya kuchangia
3. Iwe...
Am ally riyami from udsm nauza simu aina mbalimbali ila ni second hand from s.africa na canada,nina black berry bold 9700,9900,sonny erickson experior hark,sumsung galax s3,d.camera...
kati ya Noah,serena voxy na honda step wgn ni gari ipi nzuri zaidi ukizingatia vipengelea vifuatavyo\
-Fuel consumption
-Upatikanaji wa spear
-Comfortability
-Repair and Maintanance
Nahitaji watu wanao nunua used electronics kwa jumla
LCD tv 32 inch ,Plasma tv , CRT tv , music system ,fridge ! Home theaters , DVD players ! Computer ,computer accessories !
Jamani mwenzenu ndo nimeanzamaisha nimepata kamkopo naombeni mnisaidie wapi ntapata kagari ka Sh milioni sita tu! Gar yoyote lakini iwe imeingizwa toka Japan siku si nyingi, asanteni
1.Ipo kwenye hali nzuri sana2.Ina CC 1496 na hivyo ni nafuu kuigharamia mafuta 3.Mileage 95,000km4.Bado haijatumika kabisa hapa Tanzania na inamvuto wa kutosha5.Ni model mpya kwa huku kwetu...
DO YOU HAVE A TRANSLATION WORK? ( ARTICLE, BOOK, MAGAZINE, CONTRACT, MEMORUNTUM OF UNDERSTANDING(MOU), AND MANY OTHERS? ) WE TRANSLATE IT INTO ENGLISH, KISWAHILI AND FRENCH? CONDUCT us...
Inatafutwa mashine ya kushindilia barabara yenye uzito wa tani kumi. Mwenye nayo au kujua mwenye nayo iliyotumika (used) awasiliane na mimi kwa abdulnoor3@gmail.com
Habari wana JF
Nnasumbuka kupata cartiridge ya printer aina Canon Mp250 wakati mwingine najibiwa kuwa printer hiyo haipo. Kwa anayefahamu mahali nnapoweza kupata cartridge hyo nnaomba...
Ukubwa nii skwea mita 2218.
Lipo Kitunda Kati,karibu na barabara ya lami,kituo cha mabasi-Masaai umbali wa mita 100 kufika kwenye eneo.
Eneo linafaa kwa makazi au biashara au shughuli nyingine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.