Wapendwa nimechoka na kukatika katika kwa umeme wa tanesco kila siku natafuta angalau generator ambalo halitakula sana petrol kwa matumizi ya nyumbani
je wapendwa niende maduka gani hapa dar es...
The joy band live music, ina kukaribisha na ipo tayari kuku hudumiya wewe kama una hotel, club, bar au sherehe ya aina yoyote kwa bei nafuu, tuna piga muziki wa aina yoyote: Zilipendwa, rhumba...
Wakuu nafanya online factory unlock kwa iphone zooote kwa bei rahisi compared na zile za wahindi wa posta. 100% refund kama kutakua na matatizo.
Wasiliana nami kwa:
0655003510 au...
Dear valued customers!
Kindly we are taking this opportunity to express our sincerest thankfulness to you for your continued business with us. www.jordanexpress.co.tz.
Make: ISUZU
Year: 1998
Millage: 78,000 km
Seat : 29
Manual , Full A,c
Price: 45m.
Bado number na bima tu , vingine vyote tayari , Gari ipo hapa Dar, inafaa kwa matumizi ya abiria, shule ...
Nyumba ya vyumba 4 kimoja master
ina sitting room, Public toilet, Jiko , stoo , Juu imewekwa gypsum, chini tiles.
Umeme upo , maji ya kisima, maji ya bomba yapo nyumba ya jirani ni suala la kuunga...
Wapendwa wana jamii, kuna eneo lipo BUNJU A. nahitaji kulinunua, lakini anae hitaji kuniuzia amejitaja kama ndg wa BALALI, Msaada ninao uhtaji ni kupata mawasiliano ya watoto au mke wa BALALI ili...
Hi! wanajamii, nauza nyumba ipo mbezi luis njia panda ya makabe ni km 1.3 kutoka morogoro road, ina vyumba 4 kimoja master, public toilet, jiko, stoo, bado finishing kidogo. kiwanja kinaukubwa wa...
used 2months exactly like new
750,000tsh
+255 756 412 337
Design
Device type:
Smart phone
OS:
Android (4.0.4, 4.0.3, 2.3.5, 2.3.4)
Dimensions:
5.78 x 3.27 x 0.38 inches (147 x 83 x 9.65...
Inahitajika Toyota Noah 2003 model
Color: Iwe Silver
Mileage: Isizidi 120,000
Gari liwe katika hali nzuri
Budget: 10-11 million TZS
Kama unayo ni-PM tufanye biashara. Simu 0767000641
TV YA SONY "30 FLAT SCREEN BEI POA KABISA NAKUPA NA DVD PLAYER YA SONY BURE...Mambo vp wakuu
nauza tv ya sony ya malaysia inches 30 iko fresh na remote yake kioo chake ni flat screen ya kawaida ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.