wakuu Naitaji Min laptop ya HP au TOSHIBA mpya ikiwa na kila kitu chake.............nataka vile vidogo sio makubwa ya Inch 14 hapana, naitaji haraka kwenye nayo aweke bei na contact yake tufanye...
Habari,
Tumeanzisha kampuni ya Consultant katika mambo ya Dhahabu na Copper.Hii kampuni itakua inajihusisha na processing
of Gold and Copper mfano Ore yako ina dhahabu na copper na nia yako ni...
We are happy to announce that we will conduct a form one tuition for students who are expecting to join Secondary Schools. The programme will be conducted from 7hJanuary, 2013 onwards in order to...
Habari Jf, Ninauza cm aina ya Samsung galaxy Young S5360
Bei: 200,000
Ipo Dar,
Ipo na screen protector, back cover na charger.
Contacts. 0717543373, 0786305664
Zikiwa zimebaki siku chache kumaliza mwaka 2012, wasiliana na RMJ & CO. LTD ili kusajili kampuni yako kwa bei nafuu ya prpmosheni na bila usumbufu.Fika ofisini kwetu Mandela Road - Dar (Opposite...
Wana Jf habari zenu. Ninatafuta mashine ya kusagia karanga inayo tumia umeme ambayo isha tumika yani Used iwe tu katika hali nzuri pia kwa bei nafuu ili niokoe mladi ya mladi imekufa msaada jamani...
Apple Mac book Pro 750GB i7- 1M (2 in Stock) 1 SOLD
Apple Mack book air 250GB - 980,000 (2 in Stock)
Iphone5 white 16GB sealed- 950,000 (Sold Out)
Galaxy Note used GT-N7000...
Nahitaji eneo la hekali mia moja maeneo ya kibaha kwa ajiri ya eneo kuweka yadi ya mizigo...iwe karibu na barabara na eneo lenye umeme liwe maeneo ya kibaha au mlandizi mwanzoni...
Me namiliki gx 100,but kwa nature yangu ya kazi mpya niliyoipata nadhani haitonifaa kwani ni home to office,office to home! Nahitaji IST,VITZ, or SWIFT ya movement za town,kunywea bia and kubebea...
Wana JF natafuta nyumba ya kunua Dar maeneo ya Magomeni, kinondoni, Temeke, nyumba iwesehemu nzuri kwenye baraba au karibu, naomba msaada wenu hata kama ni nyumba chakafu nimepata visenti, je...
Haloo wana Jf nina laptop aina ya Accer 5532
Hard disc 160
Ram 3.0GB
Speed 1.6GHz
Ina tatizo la battery hivyo nahitaji kubadilishana na mtu mwenye min laptop
Simu ni used but iko in mint condition, with box and all accessories. Bei tsh 560,000. Kama uko interested pm me, or nichek 0717301520 at kwenye whatsapp
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.