Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

wakuu Naitaji Min laptop ya HP au TOSHIBA mpya ikiwa na kila kitu chake.............nataka vile vidogo sio makubwa ya Inch 14 hapana, naitaji haraka kwenye nayo aweke bei na contact yake tufanye...
0 Reactions
0 Replies
606 Views
Habari, Tumeanzisha kampuni ya Consultant katika mambo ya Dhahabu na Copper.Hii kampuni itakua inajihusisha na processing of Gold and Copper mfano Ore yako ina dhahabu na copper na nia yako ni...
0 Reactions
0 Replies
650 Views
Nauza laptop ACER Aspire ONE D270 2GB RAM 320GB HDD 10.1 Ins. screen Pamoja na SAMSUNG external CD/DVD writer TShs. 350,000 Call - 0759 777194
0 Reactions
0 Replies
756 Views
Nna Nissan xtrai old model IPO kwenye good condition haijatumiwa sana ukiiona kama mpya kabsa bei 13 m,
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Verrosa mpya kabsa nmeisajiri bado kwenda kuchukua plate number kwa bei tajwa hapo juu,ya mwaka 2002,engine VVTI 2.0 atakayekuwa interested ani PM.
0 Reactions
1 Replies
864 Views
We are happy to announce that we will conduct a form one tuition for students who are expecting to join Secondary Schools. The programme will be conducted from 7hJanuary, 2013 onwards in order to...
1 Reactions
0 Replies
897 Views
Hi , nauza computer flat screen monitor (HP LE1901w),kwa Tshs 130,000 (Laki na elfu thelathini) unatest kabisa,bado mpya kabisa.haina michubuko wala alama yoyote.niko dar,check me out(for serious...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Natafuta kiwanja, maeneo ya tegeta,boko,salasala kiwe kimepimwa au hata kama hakijapimwa ukubwa wa sqm 1000 na zaidi, budget ni sh 14 hadi 16 M.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari Jf, Ninauza cm aina ya Samsung galaxy Young S5360 Bei: 200,000 Ipo Dar, Ipo na screen protector, back cover na charger. Contacts. 0717543373, 0786305664
0 Reactions
3 Replies
981 Views
Zikiwa zimebaki siku chache kumaliza mwaka 2012, wasiliana na RMJ & CO. LTD ili kusajili kampuni yako kwa bei nafuu ya prpmosheni na bila usumbufu.Fika ofisini kwetu Mandela Road - Dar (Opposite...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wana Jf habari zenu. Ninatafuta mashine ya kusagia karanga inayo tumia umeme ambayo isha tumika yani Used iwe tu katika hali nzuri pia kwa bei nafuu ili niokoe mladi ya mladi imekufa msaada jamani...
0 Reactions
2 Replies
867 Views
Apple Mac book Pro 750GB i7- 1M (2 in Stock) 1 SOLD Apple Mack book air 250GB - 980,000 (2 in Stock) Iphone5 white 16GB sealed- 950,000 (Sold Out) Galaxy Note used GT-N7000...
1 Reactions
0 Replies
876 Views
Nahitaji eneo la hekali mia moja maeneo ya kibaha kwa ajiri ya eneo kuweka yadi ya mizigo...iwe karibu na barabara na eneo lenye umeme liwe maeneo ya kibaha au mlandizi mwanzoni...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
heshima kwenu wakuu nahitaji mkanda wa simu na housing yake nokia 5600d-express music aliye na bidhaa hiyo tuwasiliane.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Me namiliki gx 100,but kwa nature yangu ya kazi mpya niliyoipata nadhani haitonifaa kwani ni home to office,office to home! Nahitaji IST,VITZ, or SWIFT ya movement za town,kunywea bia and kubebea...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wana JF natafuta nyumba ya kunua Dar maeneo ya Magomeni, kinondoni, Temeke, nyumba iwesehemu nzuri kwenye baraba au karibu, naomba msaada wenu hata kama ni nyumba chakafu nimepata visenti, je...
0 Reactions
1 Replies
976 Views
Viko goba tegeta 'a' size mita 20*20 2.8million, 22*22 3million 22*25 3.5million,40*20 5.6million, 44*22 6million na 25*44 7million viko tambarare na umeme uko jirani. (kwa taarifa zaidi piga...
0 Reactions
32 Replies
8K Views
Haloo wana Jf nina laptop aina ya Accer 5532 Hard disc 160 Ram 3.0GB Speed 1.6GHz Ina tatizo la battery hivyo nahitaji kubadilishana na mtu mwenye min laptop
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Simu ni used but iko in mint condition, with box and all accessories. Bei tsh 560,000. Kama uko interested pm me, or nichek 0717301520 at kwenye whatsapp
0 Reactions
0 Replies
867 Views
Jaman inamaana humu hamna madalali? Natafuta chumba cha kupanga maeneo ya kinondon kuanzia morocco Airtel to mkwajun. Kama kipo tupeane taarifa
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom