Gari ya milioni sita

Gari ya milioni sita

SirBonge

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2010
Posts
378
Reaction score
436
Jamani mwenzenu ndo nimeanzamaisha nimepata kamkopo naombeni mnisaidie wapi ntapata kagari ka Sh milioni sita tu! Gar yoyote lakini iwe imeingizwa toka Japan siku si nyingi, asanteni
 
we sema kipato chako ni kidogo ,aliyeanza maisha ni mtoto mchanga bana
 
Ila si ungeenda yard akaangalia uwezekano wakupata hata VITZ.
 
We tafuta gari hayo ya bei utakutana nayo sokoni...Ukianzia na bei hata aliyekuwa akiuza milioni 4 atakuambia sita na pia kupata gari iliyoingia hivi karibuni toka JP kwa hiyo offer sidhani...labda ufafanue hivi karibuni unamaanisha nini...
 
Ninayo baloon gx90 Toyota mark ll pm tuongee iko super cc 1998, 6 Cylinder
 
We tafuta gari hayo ya bei utakutana nayo sokoni...Ukianzia na bei hata aliyekuwa akiuza milioni 4 atakuambia sita na pia kupata gari iliyoingia hivi karibuni toka JP kwa hiyo offer sidhani...labda ufafanue hivi karibuni unamaanisha nini...[Nna maanisha angalau tangu imeingia iwe na mwezi 1 bongo.]
 
unauza gari bila hujanitaarifu kha!!!
Hny siyo hivyo gari yako ipo palepale hii niile ya hausi boi!Nataka tumpe ile pickup Navara double cabin au?Unaonaje maana sioni haja yakuwa na saloon wakati yeye kazi za nje zinahitaji picup!
 
Ninayo gx 90 mark 2 baloon safi sana nje na ndani kwa million 4.5 tu if ur interest just pm me
 
Back
Top Bottom