Natafuta nyumba ya kuapanga

Natafuta nyumba ya kuapanga

Tony Laurent

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2011
Posts
6,420
Reaction score
8,360
Natafuta nyumba ya kupanga maeneo yafuatayo:

Banana, Majumba sita, Karakata.

Sifa za hiyo nyumba;

1. Nyumba iwe inafikika kwa gari.

2. Isiwe na LUKU ya kuchangia

3. Iwe inajitegemea ( Ikiwa ni two in one itakubalika tu kama choo na LUKU hakuna kuchangia)

4. Kodi uwezo wangu ni kuanzia laki moja na nusu hadi laki mbili kwa mwezi.

Kwa wale walio tayari kuwasiliana nami wani PM tafadhali
 
Nenda pale njia panda ya airport kama unaenda karakata kupitia transit motel hatua chache kabla ya kufika relini upande wa kulia kuna madalali hapo watakupatia nyumba soon according to ur interesting.
 
buyuni ni makazi mapya ni kati ya 20k plots njia ya kwenda chanika 2bedrooms, kitchen, sitting room and toilet. maji free umeme solar. fenced
 
mkuu me ninayo hapo banana(chama), ipo pembeni ya barabara ya lami, kama vp ni-pm namba yako
 
Back
Top Bottom