Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

kama unahitaji kutafuta maisha upande wa pili wa shillingi jiunge nami tukianza kwenda south maana nnandugu yangu pande hizo,ni mawazo tu jamani kama huitaj kaa kimya kama unahitaj nipm
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Zinapatikana modem za tigo vadocom na airtel kwa sh 25000 tu na modem ambazo zinaingia laini zote kwa sh 35000 na ofa kwa modem za zantel kwa sh 18000 tu PHON 0658060905
0 Reactions
0 Replies
912 Views
Ideos nauza Sh 160000,computer ni za aina ya dell n5050 ram 2 gb hd 320 processor 2.2 ghz 32 bit Sh610000 PHONE 0658060905
0 Reactions
0 Replies
864 Views
madalali fanyeni kazi na ninaweza kulipa kodi ya miezi sita kwanza, na isizidi laki moja kwa mwezi. namba yangu 0657194551
0 Reactions
0 Replies
1K Views
za kazi wadau,,, natafuta digital camera, a proffesional one, preffarably sony, or canon.. Mwenye kufanya biashara za kuuza camera, tafadhali changamkia hiyo... Natanguliza shukrani za dhati
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Heshima kwenu wakuu, nawiwa kuomba msaada wa kupata vitabu vifuatavyo katika formats za pdf kwa yeyote mwenye kuweza kunisaidia. Natanguliza shukrani. Hivi vitabu ni muhimu sana kwa wenye...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wadau mwenye games za mpira za compyuta aniuzie kama vp namba yangu ni 0718 097972.
0 Reactions
0 Replies
780 Views
tunatafuta soko la mafuta ya ubuyu na sabuni ya ubuyu. litre moja ni 35000 sabuni ni 3500.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Shamba hilo lipo MLANDIZI Bagamoyo road, hekari 15 kila hekari ni Tsh 2,000,000/ lina mikorosho, miembe na minazi kwa maelezo zaidi piga 0717000990 au 0764434673 au majutongozi@gmail.com
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wapendwa nimechoka na kukatika katika kwa umeme wa tanesco kila siku natafuta angalau generator ambalo halitakula sana petrol kwa matumizi ya nyumbani je wapendwa niende maduka gani hapa dar es...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
The joy band live music, ina kukaribisha na ipo tayari kuku hudumiya wewe kama una hotel, club, bar au sherehe ya aina yoyote kwa bei nafuu, tuna piga muziki wa aina yoyote: Zilipendwa, rhumba...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wakuu nafanya online factory unlock kwa iphone zooote kwa bei rahisi compared na zile za wahindi wa posta. 100% refund kama kutakua na matatizo. Wasiliana nami kwa: 0655003510 au...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Dear valued customers! Kindly we are taking this opportunity to express our sincerest thankfulness to you for your continued business with us. www.jordanexpress.co.tz.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Make: ISUZU Year: 1998 Millage: 78,000 km Seat : 29 Manual , Full A,c Price: 45m. Bado number na bima tu , vingine vyote tayari , Gari ipo hapa Dar, inafaa kwa matumizi ya abiria, shule ...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nyumba ya vyumba 4 kimoja master ina sitting room, Public toilet, Jiko , stoo , Juu imewekwa gypsum, chini tiles. Umeme upo , maji ya kisima, maji ya bomba yapo nyumba ya jirani ni suala la kuunga...
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Wapendwa wana jamii, kuna eneo lipo BUNJU A. nahitaji kulinunua, lakini anae hitaji kuniuzia amejitaja kama ndg wa BALALI, Msaada ninao uhtaji ni kupata mawasiliano ya watoto au mke wa BALALI ili...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Model NO.: SH2900DX Product Description 1. RATED POWER: 2.0KW 2. ENGINE: GX200 3. FUEL TANK: 15 4: 1X20FT: 235 PCS 5: MOQ: 1X20ft 6: Payment term: TT...
0 Reactions
1 Replies
746 Views
Filling Cabinet (1pc) PRICE : Tsh 200,000/- Office Chairs (3pc) PRICE : Tsh 100,000/- Office Desks (2pc) Color: White PRICE : Tsh 130,000/- CONTACTS: 0754 945 643 Furnitures zote zipo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau nina IPAD 2 mpyaaa ndani ya box ina kila kitu from UK bei 1.6 M
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Hi! wanajamii, nauza nyumba ipo mbezi luis njia panda ya makabe ni km 1.3 kutoka morogoro road, ina vyumba 4 kimoja master, public toilet, jiko, stoo, bado finishing kidogo. kiwanja kinaukubwa wa...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Back
Top Bottom