kama unahitaji kutafuta maisha upande wa pili wa shillingi jiunge nami tukianza kwenda south maana nnandugu yangu pande hizo,ni mawazo tu jamani kama huitaj kaa kimya kama unahitaj nipm
Zinapatikana modem za tigo vadocom na airtel kwa sh 25000 tu na modem ambazo zinaingia laini zote kwa sh 35000 na ofa kwa modem za zantel kwa sh 18000 tu PHON 0658060905
za kazi wadau,,, natafuta digital camera, a proffesional one, preffarably sony, or canon.. Mwenye kufanya biashara za kuuza camera, tafadhali changamkia hiyo... Natanguliza shukrani za dhati
Heshima kwenu wakuu, nawiwa kuomba msaada wa kupata vitabu vifuatavyo katika formats za pdf kwa yeyote mwenye kuweza kunisaidia. Natanguliza shukrani. Hivi vitabu ni muhimu sana kwa wenye...
Shamba hilo lipo MLANDIZI Bagamoyo road, hekari 15 kila hekari ni Tsh 2,000,000/ lina mikorosho, miembe na minazi kwa maelezo zaidi piga 0717000990 au 0764434673 au majutongozi@gmail.com
Wapendwa nimechoka na kukatika katika kwa umeme wa tanesco kila siku natafuta angalau generator ambalo halitakula sana petrol kwa matumizi ya nyumbani
je wapendwa niende maduka gani hapa dar es...
The joy band live music, ina kukaribisha na ipo tayari kuku hudumiya wewe kama una hotel, club, bar au sherehe ya aina yoyote kwa bei nafuu, tuna piga muziki wa aina yoyote: Zilipendwa, rhumba...
Wakuu nafanya online factory unlock kwa iphone zooote kwa bei rahisi compared na zile za wahindi wa posta. 100% refund kama kutakua na matatizo.
Wasiliana nami kwa:
0655003510 au...
Dear valued customers!
Kindly we are taking this opportunity to express our sincerest thankfulness to you for your continued business with us. www.jordanexpress.co.tz.
Make: ISUZU
Year: 1998
Millage: 78,000 km
Seat : 29
Manual , Full A,c
Price: 45m.
Bado number na bima tu , vingine vyote tayari , Gari ipo hapa Dar, inafaa kwa matumizi ya abiria, shule ...
Nyumba ya vyumba 4 kimoja master
ina sitting room, Public toilet, Jiko , stoo , Juu imewekwa gypsum, chini tiles.
Umeme upo , maji ya kisima, maji ya bomba yapo nyumba ya jirani ni suala la kuunga...
Wapendwa wana jamii, kuna eneo lipo BUNJU A. nahitaji kulinunua, lakini anae hitaji kuniuzia amejitaja kama ndg wa BALALI, Msaada ninao uhtaji ni kupata mawasiliano ya watoto au mke wa BALALI ili...
Hi! wanajamii, nauza nyumba ipo mbezi luis njia panda ya makabe ni km 1.3 kutoka morogoro road, ina vyumba 4 kimoja master, public toilet, jiko, stoo, bado finishing kidogo. kiwanja kinaukubwa wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.