Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Wakuu nina mzigo wa fridges nzuri sana za boss hapa, nautoa nataka uishe chap sana ili nilete mzigo mwingine, hivyo basi nimeweka punguzo kubwa sana la bei. Ukinunua kwetu unapata Usafiri bure...
1 Reactions
3 Replies
935 Views
Habari wakuu! QGIS ni programu ya bure. Jina QGIS linamaanisha "Quantum GIS" na awali ilianza kama mradi wa Quantum GIS mnamo mwaka 2002. QGIS ni program bora sana kulinganisha na program...
2 Reactions
7 Replies
2K Views
PRINTER COPIER 'HP LASERJET 1132' INAUZWA DODOMA NA EPSON L 805 HP - 320,000/- EPSON - 450,000/- DODOMA MJINI - 0716 87 04 17
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nauza Computer Softwares aina zote :) Adobe packs, Corel draw, Wondershares software zote, Sony Vegas, After effects project files, SPSS Statics by IBM, Excels Formulas, na zingine nyingi TU...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Habari wadau Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Nahitaji turubali ngumu kama zile zinazofunikia mizigo katika malori makubwa , sihitaji mpya ila itakayopatikana iwe nzima isivuje, hata kama...
0 Reactions
4 Replies
859 Views
Mwezi wa 8 naenda Burundi,atakayehitaji decorder tunauza 150,000 pamoja na package ya mwezi mzima.Dish na kitovu havihusiki.Namaanisha deki na remote pamoja na waya wa kuunganisha. Mhitaji awe...
0 Reactions
1 Replies
460 Views
Salaamu Karibu ujipatie PDF za mazao mbali mbali, Zipo PDF za mazao 11 (1. Viazi Mviringo 2. Hoho 3. Tikiti Maji 4. Vitunguu Maji 5. Parachichi 6. Kabichi 7. Pilipili Kali 8. Karoti 9...
0 Reactions
3 Replies
753 Views
Wakuu Kuna boma linauzwa Mbweni Millioni 40 . Mtu ataendeleza tu hilo boma Mita 15.3 kwa mita 23 N.B chenye thamani ni kiwanja sio boma .Call 0759600684
0 Reactions
2 Replies
614 Views
Nawasalimia wana jamii forum. Naitwa Rosie nafanya delivery ya bidhaa za sokoni, mfano pilipili hoho, nyanya, karoti, mchele, mafuta ya kupikia, maharage, viungo na mahitaji mengine. Niko mabibo...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Maelezo zaid na mawasliano zaidi Call___watsap 0718436694
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Habari wakuu, Tumeshusha mzigo mpya wa simu simu zote mpya pamoja na used. Simu za mezani, unaweka laini yoyote inakaa na chaji si chini ya siku nne kwa matumizi ya nyumbani na ofisini...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Fremu inatizama barabara, kubwa inafaa kwa biashara yoyote ile. Haihitaji matengenezo. Kod laki 7, malipo ni miez 12. Kilemba gharama za matengenezo aliofanya mpangaji anaeachia hapo zinarudishwa...
0 Reactions
6 Replies
696 Views
Simu za infinix zilizopo zote ni mpya: Hot 8 lite bei 250,000 Smart 3+ bei 290,000 Hot 7 bei 240,000 S4 bei 350,000 Simu za Tecno zilizopo zote ni mpya Spark 2 bei 230,000 Spark 3 na pro yake bei...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Boma linauzwa, limefikia hatua ya kufunga lanter, lina vyumba 3 vya kulala ambapo viwili ni self, kimoja ni cha kawaida, sitting, dining, jiko pamoja na public toilet. Limejengwa ndani ya eneo...
0 Reactions
7 Replies
832 Views
Boma linauzwa, limefikia hatua ya kufunga lanter, lina vyumba 3 vya kulala ambapo viwili ni self, kimoja ni cha kawaida, sitting, dining, jiko pamoja na public toilet. Limejengwa ndani ya eneo...
1 Reactions
1 Replies
545 Views
Mwenye hii gari Toyota Coaster nipigie tufanye kazi. Gari iwe na 29 seats. Gari iwe na AC Gari iwe registered for commercial use Isiwe na mkanda wa route Hesabu kwa siku ni 80,000 Nipigie kwa...
2 Reactions
24 Replies
5K Views
Kibanda mkokoteni, maalumu kwa kuuzia nguo. Kinauzwa, bei poa na ni tofauti na mikokoteni yote (karibu) +255755360768 location:- arusha sifa za kibanda hiki; Kwanza kabisa kibanda hiki hakipo...
3 Reactions
22 Replies
3K Views
Habari wanaJF mimi ni fundi wa kuchomelea (Arc Ray Welding) mkazi wa Dar natafuta kazi ya kuchomelea yeyote mwenye connection tafadhali anisaidie..
2 Reactions
1 Replies
749 Views
Muundo wake Vyumba vitatu vya kulala kmoja n master bedroom seble jiko dining stoo na choo na bafu (CommonToilet) Huduma zote maji umeme barabara vpo site mtaa mzurii uliojengeka kisasa sanaa...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Mimi nipo Dar es salaam, nina gari canter, box body freezer, yenye uwezo wa kubeba mizigo ya baridi na ya kawaida. Natafuta kazi halali popote hapa Tanzania...
4 Reactions
10 Replies
2K Views
Back
Top Bottom