Nyumba inauzwa Mbezi Kibamba ina vyumba vitatu kimoja master, ina stoo, jiko, dinning room, sittng room, public toilet, full fency maji ya DAWASCO dakika 3 main road bei milioni 70...
HUDUMA ZETU ZA PRINTING
___________________________________
Tuna print
1. Flyer /bronchure
2. Vitabu vya Risiti /invoice Book
3. T-shirt
4. Calender
5. Dairy Book
6. Company Profile
7. Events...
Wanandugu KIWANJA KIPO SOKONI
(40 urefu kwa 22upana)
Sifa ya kiwanja
1. Kipo sehemu nzuri, karibu na Barabara ya mtaa ya gari na pikipiki
2. Hakipo mbali na Barabara kuu ya lami yaani itokayo...
KARIBU, Tunauza Mbuzi na Kondoo kwa bei nafuu kwa ajili ya nyama na kufuga tunazo aina za mabeberu wenye uwezo wa kuzalisha Mapacha. Tuko Dar tupige au whatapp no 0713318671.
Furahia Maisha.
Nimepata sehemu Pumba za mchele na mahindi zinazalishwa sana. Japo zinauzwa lkn bei ipo chini ukilinganisha na sehemu zingine. Kwa yeyote anaeyajua masoko ya kitu hii iwe hata nje ya nchi anitafute
Hello, nauza simu yangu google pixel 3a nimenunua mwezi uliopita 300000.
Tarehe Moja/8 napata simu nyingine naiuza hii 200000.
Unaweza lipa Kwa awamu 2.
Nipo, Dar es salaam.
Kwa yeyote mwenye kuhitaji mahindi meupe naomba tuwasiliane.
Kiasi ni kulingana na mahitaji Yako ila si chini ya Tani 30.
Bei kwa sasa ni shilingi 600@kg, hapa inajumuisha Bei ya MAHINDI...
UPSCALE SHOP inawatangazia nafasi ya kazi (1) kuhusu DATA ENTRY SYSTEM
SIFA YA MWOMBAJI
-Awe amehitimu elimu yake ngazi ya DIPLOMA/ DEGREE nafasi hii inahusiana na INFORMATION TECHNOLOGY (I.T)...
Wakuu habari?
Kama title inavyosema, maelezo zaidi ni kama ifuatavyo.
Idadi: 10
Umri: Miezi miwili na nusu.
Bei: @120,000/= (Maongezi yapo)
Eneo: Arusha, Themi Hill.
Karibuni wakuu...
Kama kuna mtu ana laptop aina ya hp pavilion g6 iwe mbovu au nzima naomba aje tuongee popote pale alipo. Na kama ni mbovu motherboard iwe angalau nzima.
Njoo PM nikupe hela.
nchi ya China, inatengeneza bidhaa kwa ubora aina 2, kuna ambazo made for china (kwa matumizi ya ndani ya china ,zinakuwa imaa mno na mara nyingi hazina box. Pia kuna aia ya pili made for out of...
wakuu, mwenye chumba maeneo ya Chamanzi nahitaji, kiwe kikubwa kizuri, kiwe ndani ya fens, kuwe na umeme na maji, kisiwe mbali na barabarani, kodi 30-35 miezi 3+.
0683160108
WanaJamii,
Natafuta shamba la eka 2 au 3 maeneo ya Mapinga au Kerege. Mwenye nalo au connection tafadhali niDM. Lire Karima na line ya même na pare na uhakika wa maji ya kwa kuchimba kisima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.