Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

Mwenye gari dualis number E anichek PM. Pesa ipo mfuko wa shati NB: Madalali wenye tamaa hapana
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kipo kibaha kwa Mathias, Squire meter 400. Kipo msangani juhudi,jirani na stend ya bajaji Bei milioni 3
2 Reactions
12 Replies
1K Views
TECNO POP4. 32 Gb storage, 2Gb RAM. Nipo Arusha, Njiro. Haina tatizo lolote. Bei 95,000. Simu 0768174862
0 Reactions
0 Replies
441 Views
Habari zenu wakuu? Nahisi kichwa cha uzi kinajitosheleza, japo kwa kuongezea kama wewe ni mmoja kati ya wanaoweza/kumfahamu anayeweza naomba tuwasiliane. Njoo PM chap kwa haraka tufanye biashara.
2 Reactions
18 Replies
947 Views
Habarini waungwana! Ni hp intel laptop RAM ni 8GB HDD ni 500GB CPU ni @2.4GHz 3 USB ports Ethernet port Wifi Adapter ipo Battery ni 30 min Kioo kina mistari miwili Bei ni 280K TZS tu! Karibuni...
1 Reactions
0 Replies
484 Views
Hbr Wtz wenzangu, kama title inavyojieleza ninauza used Dg kuanzia kva 15 na kuendele na spears pia zipo mawasiliano ni 0710881879.
0 Reactions
2 Replies
595 Views
Wanandugu mwenye Manila ngumu naweza kumpata ?
1 Reactions
8 Replies
2K Views
TUNAPENDA KUWAKARIBISHA KUJIUNGA NA CHUO CHETU KWA KOZI YA CLINICAL ASSISTANT. NA NURSING. KWA WALE WALIOMALIZA KIDATO CHA NNE ( 4) NA CHA SITA (6) CHUO KIMESAJILIWA. REG...
2 Reactions
9 Replies
6K Views
Toyota hardtop for sale Price mil 67 Engine 1hz New tires Manual gear Coil springs Contact +255714787795 Location Dar es salaam
0 Reactions
0 Replies
557 Views
Habari wakuu Kama una kioo au unamjua mwenye nacho, nicheki kwa 0713 039 875
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari ! Wana Jf Leo nimewaletea Uzi kuhusu Spare za magari Unamiliki Gari na gari yako ina changamoto ya aina yoyote Uliza bure na unapewa ushauri bure TAHADHARI [emoji91] Ewe mmiliki wa gari...
3 Reactions
19 Replies
4K Views
Hii tv ina miezi michache sana na ili kuamini unapewa na box lake na mazaga zaga yote. Kwanini inauzwa mapema sana? Kuna mgonjwa yupo hospitali inahitajika hela ya haraka. Bei ya dukani ni 500k...
3 Reactions
17 Replies
2K Views
Bei ni shi mil 1 na laki 8 Mahali ilipo ni Arusha city Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
0 Reactions
5 Replies
897 Views
Habarini ndugu zangu. Kuna saloon inauzwa ipo Kimara B Kwa Komba (karibu na Stopover), kama huitaji kununua saloon yote then unaweza kununua kitu utakachohtaji. Kinyozi wangu aliekua hasumbui...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Nataka fundi anaetengeneza vifaa vya chuma mixed na mbao, mfano kitanda, meza ya jikoni, meza ya viatu nk
0 Reactions
1 Replies
768 Views
Habari! Nauza gari yangu Mark 2, Engine ni 1g kavu, Gari ipo well maintained,ipo na matyre mapyaa. Kama upo interested nicall 0757795588
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Nataka kununua Toyota Brevis nina 5M mwenye nayo nipe namba tufanye biashara hata ikiongezeka laki tatu ya dalali sio mbaya
0 Reactions
2 Replies
989 Views
Habari ya muda huu wakuu. Kwa majina naitwa Mr. Dwelnish ni sehem ya uendeshwaji wa duka letu jipya kabisa kariakoo la Dwelnish linalojihusisha na uuzaji wa mashuka,pazia, foronya, na taulo Kwa...
3 Reactions
62 Replies
6K Views
Wakuu salama, Nauza tyres4 mpya kabisa zina muda wa miezi 3 na rim zake mpya kabisaa. Tyres ni Goodyear ni imara sana. Ukitaka tyre peke yake nitakuuzia na rim pia. Tyre size ni 215/45/R17 na rim...
2 Reactions
41 Replies
5K Views
Nina Kokoto zangu zipo site nauza maana wajuba wanaziiba kila nikienda zinapungua so ni Bora niuze ili nipunguze hasara. Kokoto zipo Kigamboni Dege. Ukiwa maeneo ya Cheka mwongozo. Dege. Geza na...
0 Reactions
1 Replies
875 Views
Back
Top Bottom