Najua HAIHUSIANI SAN ILA MSAADA
Nina degree ya COMMUNITY ECONOMIC DEVELOPMENT.
[emoji419]Naitafutia uzoefu ili badae niweze kuwa na chochote kwenye CV na kuombea Kazi.
Nisaidie hata Internship tu...
Kiwanja Kinauzwa!
Mahali: Kibaha kwa Mathiasi.
Bei: Milioni 60 (kunamaelewano).
Maelezo: Kipo karibu kabisa na barabara ya kuu ya morogoro - upande wa stendi ya daladala kuelekea Ubungo...
Mwenye ako na haka kapikipiki kakiwa na usajili tayari namba D itapendeza iwe used ambayo bado piru muonekano mzuri na isiyosumbua isiyo na kipengele njoo Pm
Habari wakuuu,Nina lengo la kufungua mradi wa kuuza juice ya miwa .Naomba kuuliza bei ya kununua mashine yake ikiwa mpya na ikiwa used .
Nataka nione wapi nitaaford ili niweze kifungua nione kama...
Mid keyboard inauzwa bei kitonga sana ,tone,volume , baton zote ziko poa imenyooka sana haina kipengele
Location mwanza
Bei 330,000
Popote unatumiwa kwa uaminifu kwa gharama za mteja
Ramani ya Ukumbi/Venue
Unauwezo wa kuhudumia watu 400
Pia Tunatoa huduma zifuatazo
◇RAMANI NA UJENZI
◇KUFATILIA VIBALI VYA UJENZI
◇KUANDAA GHARAMA ZA UJENZI (BOQ)
◇USIMAMIZI WA UJENZI
Wasiliana...
Umepanga kununua Tv na pesa ni kidogo? Usiteseke Infopreneur anauza Smart Tv used from UK Kwa bei poa sana. Jambo bora zaidi ni kwamba Tv zangu Zinakuja na warranty pia ni Original. All you have...
Habari Wana JF Jana kama unaona kabisa una Stationery ila huoni mafanikio watafute MachapishoAgentLtd pia tuna softcopy ya kitabu chetu inaitwa TAJIRIKA KWA BIASHARA YA STESHENARI inaendelea...
Kama ulinunua kwa makosa ardhi au nyumba zako, unahitaji kusoma makala hii. Kama una mpango wa kununua ardhi au nyumba, unahitaji kusoma makala hii.
Kama hujui ni nini hasa cha kuandaa kabla ya...
Nyumba inauzwa Mwandege Magengeni barabara ya Kilwa road, wilaya ya Mkuranga mkoa wa Pwani. Ina vyumba vinne sitting room chumba kimoja master, jiko, kisima cha maji, stoo ndani full tank.
Uani...
Nyumba inauzwa Mbezi Kibamba ina vyumba vitatu kimoja master, ina stoo, jiko, dinning room, sittng room, public toilet, full fency maji ya DAWASCO dakika 3 main road bei milioni 70...
HUDUMA ZETU ZA PRINTING
___________________________________
Tuna print
1. Flyer /bronchure
2. Vitabu vya Risiti /invoice Book
3. T-shirt
4. Calender
5. Dairy Book
6. Company Profile
7. Events...
Wanandugu KIWANJA KIPO SOKONI
(40 urefu kwa 22upana)
Sifa ya kiwanja
1. Kipo sehemu nzuri, karibu na Barabara ya mtaa ya gari na pikipiki
2. Hakipo mbali na Barabara kuu ya lami yaani itokayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.