Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

On JF:

wandugu bado natafuta kiwanja amy one to help kuanzia robo tatu hadi heka urgrnt shanty town mpoo!
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hajakamilika. Ina vyumba vitatu vya kulala jiko na sebure haijakamilika. Bei maelewano. Muhitaji tuwasiliane kupitia hizi namba 0717114409 or 0784225000. Sms ruksa
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wasalaam wanaJF!! Smartphone BB Bold 9780 inauzwa!! Haina tatizo lolote ila ni used,screen yake haina mikwaruzo kwan ina screen guard tangu upya wake!!! Kama uko interested tuwasiliane @0767...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
BB bold 9700 inauzwa kwa bei ya laki 2 na elfu 50 za kitanzania, haina mchubuko na inafanya kazi vizuri. Wasiliana na namba 0756 41 75 04 ili kuipata. tembelea NAUZA
0 Reactions
0 Replies
1K Views
BB bold 9700 inauzwa kwa bei ya laki 2 na elfu 50 za kitanzania, haina mchubuko na inafanya kazi vizuri. Wasiliana na namba 0756 41 75 04 ili kuipata. tembelea NAUZA
0 Reactions
0 Replies
886 Views
Mwenye pick up mzuri hilux, even other model tuwasoliane. 4Wd
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Iwe na Specification hizi with Android operating system RAM: 512 MB or above PROCESSOR: 1GHZ SCREEN SIZE: 4INCHES or above 3G NETWORK Samsung Zitakuwa more preferable.... Thanks...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Watanzania jipatieni Tshirt za ukweli zenye chata tofauti na quality isiyo chuja wala kuharibika na pasi.pia unaweza kuchapisha Tshirt utakavyo,fika kariakoo mtaa wa Udoe na Sikukuu karibu na Home...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wana jamvi. IloveTZ Premium Hosting sasa inatoa 500mb's bure kwa kila domain (.com .net .org) utayonunua (22500/=). Pia endapo utahitaji msaada wa designing utapata katika bei nafuu. Waweza...
0 Reactions
1 Replies
835 Views
Haijakamilika imeisha kwa asilimia 90. Ipo katika kiwanja chenye ukubwa wa mita za mraba 900 na kina Hati Miliki. Ina vyumba vitatu vya kulala ambavyo vyote ni self contained. Ukubwa wa vyumba...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani natafuta maid,ni lazima awe wa kulala si wa kwenda na kurudi nipo Mwananyamala.hata kama akiwa mkoani tuwasiliane nitatafuta namna ya kumfikia na kumtumia nauli.Mshahara ni maelewano umri...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Looking for a HOUSE in Mwanza self concerned with minimum 2 bed rooms of not more than 2.4Milion per YEAR
0 Reactions
1 Replies
923 Views
Napenda kuwatangazia kuwa kunaviwanja vakujenga ninauza vipo mkoa wa Arusha mtaa wa Kikatiti 1km kutoka barabara kuu robo km kutoka soko kuu la Kikatiti. mawasiliano 0753127191 au 0756408423...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nawaletteni kwenu Samsung Galaxy S3 mini... It's a good phone sio lazima kila simu ijae mkono mzima. Portable and slickly Powerful, Some specs; 1Gb Ram. 8/16 Gb internal. 1 Ghz dual core...
0 Reactions
9 Replies
8K Views
Eneo ekari nane linauzwa milioni 25 kwa eka; lipo mita 200 toka usawa wa bahari na linapakana na kaole sekondari. Linafaa kwa ujenzi wa hoteli, apartments, au campsite kwa ajili ya utalii...
0 Reactions
0 Replies
833 Views
Kutakuwa na mkutano mkubwa wa biashara(BUSINESS FORUM) siku ya jumapili ya tarehe 5 may Peacock Hotel,Millenium Towers Kijitonyama ambao utahusisha wafanyabiashara mbalimbali wa ndani ya nchi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu, Kwa aliye mwenyeji wa lake zone, natafuta shamba eneo la Sengerema (highway ya Mwanza-Sengerema) Yaani liwe ni jirani ya Kigongo ferry au hata vijiji vya jirani yake, likiwa kwenye ukingo...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Hello wana jf mwenye kuitaji sambusa za sherehe yoyote napika bei shilling mia tatu moja karibuni,anayehitaji aniPm,niko mwanza wanajf.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
NIPE OFFER YAKO.....
0 Reactions
4 Replies
741 Views
Samsung mini laptop(BRAND NEW) Intel atom inside, Processor 1.6GHZ,RAM 1GB.,HDD 300,WEBCAM,WI-FI,2 USB PORT Price;420,000 HP mini 200(BRAND NEW) Intel atom inside,processor 1.6GHZ,RAM 2GB,HDD...
0 Reactions
0 Replies
785 Views
Back
Top Bottom