Kiwanja chenye foundation ya pande mbili kila upande una vyumba 3, choo,jiko, sitting room kina ukubwa mita 16 kwa 21. Kipo mbande mtaa wa kisewe Kata ya chamanzi. Ukitoka sokoni kwa miguu ni...
wadau salama?
kama kichwa cha habari kisemavyo, im looking for a powerful laptop, preferably apple, au sony vaio... hardisk kuanzia 500 gb, ram up to 8gb, processor ya core i7, na graphics...
Kichwa cha habari chahusika hapo juu. Nawiwa kuomba mkopo wa kiasi cha Mil 70 kwa interest isiyozidi 3% kwa mwezi , ninaweza kurejesha kwa kipindi cha miezi 12. Nitaweka nyumba ya vyumba 10...
This 4 bedroom house with a pool, large kitchen with lounge and a nice terrace facing the sea is located on Kawe Beach. The Plot with an 50 meter beach front has a total size of approx. 3.500 sqm...
Habari Zenu wakuu,
Nina showcase fridge used yale kama yanayotumika kwenye ma supermarket ku display nyama samaki na vitu kama hivo. Pia nina freezer kubwa used ambalo lina mlango wa kioo display...
Habari wana jf
Kwa wale wenye matatizo ya uzazi (kutopata mtoto) kama ulishawahi kupata mtoto mmoja na inashindikana kupata wa pili pia kwa wale ambao wanashindwa kupata ujauzito kama matokeo ya...
phone; Samsung galaxy s2
bei; 500,000
contact; 0712198128
Habari,
Nauza simu mpya,galaxy s2 imetumika just one week. Nauza kwa ajili ya shida tu.. Nahitaji 500,000/=.
Call me at 0712198128
Salaam wakuu,
Nina wazo la kuanzisha biashara ya spare za magari na used tires kutoka japani. Mwenye uzoefu na biashara hii, au mtu yeyote mwenye idea naomba anipe mwanga ni regulations zipi...
Kiwanja kinauzwa Kipo eneo la Itega sqm 2,400 ni 5KM kutoka Dodoma mjini bei 20,000,000 maongezi yapo mawasiliano kwa namba hizi 0754297298 ua 0715297298.
Sent from my BlackBerry 9780 using...
Nipo tanga kwa sasa ila next week nina mpango wa kwenda dar es salaam. Nina hitaji kama kuna mtu anaweza kunitengenezea micro sim card kwa bei rahisi. Au mniagizie sehemu wanayo tengeneza. Asanteni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.